K kamojatu JF-Expert Member Joined Dec 6, 2013 Posts 723 Reaction score 689 Apr 28, 2015 #1 Wadau niko njiani kuelekea jijini Mbeya. Sijui nifikie hotel gani yenye usalama kwani katika kuulizia nimeelekezwa Mfikemo hotel iliyopo Mwanjelwa. Je, ni kweli iko kwenye mitaa salama?
Wadau niko njiani kuelekea jijini Mbeya. Sijui nifikie hotel gani yenye usalama kwani katika kuulizia nimeelekezwa Mfikemo hotel iliyopo Mwanjelwa. Je, ni kweli iko kwenye mitaa salama?
Happycuit JF-Expert Member Joined Aug 18, 2013 Posts 646 Reaction score 542 Apr 28, 2015 #2 Fika penge hotel ipo krb na mfikemo Ni forrest ya zaman krb na mbeya carnival ful amani
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 93,837 Reaction score 132,081 Apr 28, 2015 #3 Waliyopo mbeya hivi eland hotel bado ipo?
K kamojatu JF-Expert Member Joined Dec 6, 2013 Posts 723 Reaction score 689 Apr 28, 2015 Thread starter #4 Asante mkuu Happycuit nitapatembelea. Kwa hiyo mfikemo nisiende? Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 93,837 Reaction score 132,081 Apr 28, 2015 #5 Happycuit said: Fika penge hotel ipo krb na mfikemo Ni forrest ya zaman krb na mbeya carnival ful amani Click to expand... Mleta uzi huu kani fanya nmepakumbuka mbeya ....vp eland hotel bado ipo
Happycuit said: Fika penge hotel ipo krb na mfikemo Ni forrest ya zaman krb na mbeya carnival ful amani Click to expand... Mleta uzi huu kani fanya nmepakumbuka mbeya ....vp eland hotel bado ipo
savius JF-Expert Member Joined Oct 21, 2014 Posts 432 Reaction score 255 Apr 28, 2015 #6 nenda penge hotel,mfikemo nzuri ila maeneo ilipojengwa ndo vizazi vya vibaka mwanjelwa
A asali yao Member Joined Jan 16, 2015 Posts 80 Reaction score 18 Apr 28, 2015 #7 mrangi said: Waliyopo mbeya hivi eland hotel bado ipo? Click to expand... ilishaga uzwa tokea mwaka 2005, ilinunuliwa na Teofilo Kisanji University
mrangi said: Waliyopo mbeya hivi eland hotel bado ipo? Click to expand... ilishaga uzwa tokea mwaka 2005, ilinunuliwa na Teofilo Kisanji University
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 93,837 Reaction score 132,081 Apr 28, 2015 #8 asali yao said: ilishaga uzwa tokea mwaka 2005, ilinunuliwa na Teofilo Kisanji University Click to expand... A yaaaa nlikuwa napakubali sana, ilikuwa nkitokaga maoni wakati tunarudi lzma tupitie,ilikuwa ni maeneo ya blok t hayo.
asali yao said: ilishaga uzwa tokea mwaka 2005, ilinunuliwa na Teofilo Kisanji University Click to expand... A yaaaa nlikuwa napakubali sana, ilikuwa nkitokaga maoni wakati tunarudi lzma tupitie,ilikuwa ni maeneo ya blok t hayo.
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 93,837 Reaction score 132,081 Apr 28, 2015 #9 savius said: nenda penge hotel,mfikemo nzuri ila maeneo ilipojengwa ndo vizazi vya vibaka mwanjelwa Click to expand... Bado mwanjelwwa kuna vibaka ila mbeya siku hizi Pana ustarabu zamani ni u babe tu
savius said: nenda penge hotel,mfikemo nzuri ila maeneo ilipojengwa ndo vizazi vya vibaka mwanjelwa Click to expand... Bado mwanjelwwa kuna vibaka ila mbeya siku hizi Pana ustarabu zamani ni u babe tu
wiseboy JF-Expert Member Joined Mar 22, 2011 Posts 2,930 Reaction score 3,310 Apr 28, 2015 #10 fikia MKULO mkuu, ipo soweto pale
Makuku Rey JF-Expert Member Joined Dec 31, 2013 Posts 3,638 Reaction score 4,183 Apr 28, 2015 #11 HILL VIEW hotel ndo habari ya mujini kwa sasa! ipo uzunguni karibu kabsa na nyumbani kwa mkuu wa mkoa.
HILL VIEW hotel ndo habari ya mujini kwa sasa! ipo uzunguni karibu kabsa na nyumbani kwa mkuu wa mkoa.
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 93,837 Reaction score 132,081 Apr 29, 2015 #12 wiseboy said: fikia MKULO mkuu, ipo soweto pale Click to expand... Duh soweto kulikuwa na Jambazi mmja alikuwa anaitwa jombi alikuwa na garage mitaa hyo
wiseboy said: fikia MKULO mkuu, ipo soweto pale Click to expand... Duh soweto kulikuwa na Jambazi mmja alikuwa anaitwa jombi alikuwa na garage mitaa hyo
Mwanyoro JF-Expert Member Joined Dec 11, 2014 Posts 636 Reaction score 460 Apr 29, 2015 #13 Hill View hotel IPO Uzunguni ni nzuri sana
ISLETS JF-Expert Member Joined Dec 29, 2012 Posts 8,118 Reaction score 5,368 Apr 29, 2015 #14 nenda MATAMBA stand kuu.
Queen Kan JF-Expert Member Joined Dec 26, 2012 Posts 5,302 Reaction score 9,095 Apr 29, 2015 #15 mkulu, paradise au GR hizo zipo barabarani kabisaa
C chalantai Senior Member Joined May 20, 2013 Posts 121 Reaction score 29 Apr 29, 2015 #16 Duh matamba mkuu! umemchoka huyu ndugu
ISLETS JF-Expert Member Joined Dec 29, 2012 Posts 8,118 Reaction score 5,368 Apr 29, 2015 #17 chalantai said: Duh matamba mkuu! umemchoka huyu ndugu Click to expand... nataka ili asipotee maana hoteli za mwanjelwa wajanja wengi bora akatulie tu kwa guest za waswahili.
chalantai said: Duh matamba mkuu! umemchoka huyu ndugu Click to expand... nataka ili asipotee maana hoteli za mwanjelwa wajanja wengi bora akatulie tu kwa guest za waswahili.
C chalantai Senior Member Joined May 20, 2013 Posts 121 Reaction score 29 Apr 29, 2015 #18 Matamba na wasukuma wote wa chunya ustaarabu zero, maeneo ya stand kuu kuna new millennium iko poa tu
Matamba na wasukuma wote wa chunya ustaarabu zero, maeneo ya stand kuu kuna new millennium iko poa tu
Vitaimana JF-Expert Member Joined Nov 2, 2013 Posts 3,531 Reaction score 1,566 Apr 29, 2015 #19 Mwanyoro said: Hill View hotel IPO Uzunguni ni nzuri sana Click to expand... uliza kwanza bajet yake hill view rum ni kuanzia laki...
Mwanyoro said: Hill View hotel IPO Uzunguni ni nzuri sana Click to expand... uliza kwanza bajet yake hill view rum ni kuanzia laki...
Chizi Fureshi JF-Expert Member Joined Oct 26, 2010 Posts 1,718 Reaction score 462 Apr 29, 2015 #20 Nenda Amri Kumi guest house. Full ibada hiyo.