Salaam wadau...natafuta mfanyakazi katika ranchi ndogo ya mifugo, Mifugo iliyopo ni kuku, Mbuzi,Nguruwe na samaki.Ranchi ipo Morogoro mjini. Vigezo ni kama ifuatavyo:
1.Awe na umri usiozidi miaka 35
2.Awe na uzoefu wa ufugaji hasa wa kuku aina zote
3.Awe mchapakazi na msikivu
4.Awe na uwezo wa kusimamia watu
Kwayoyote mwenye kufahamu mtu kama huyu anijulishe pls kwa namba 0689900000
1.Awe na umri usiozidi miaka 35
2.Awe na uzoefu wa ufugaji hasa wa kuku aina zote
3.Awe mchapakazi na msikivu
4.Awe na uwezo wa kusimamia watu
Kwayoyote mwenye kufahamu mtu kama huyu anijulishe pls kwa namba 0689900000