berylyn
JF-Expert Member
- Dec 26, 2021
- 863
- 2,534
Natafuta mfanyakazi wa kuuza na kuhudumia katika Grocery/bar.
๐๐๐ฃ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ฎ.
โข Atauza vinywaji na kutoa huduma Kwa wateja.
โข Kufanya hesabu na kutunza kumbukumbu.
โข Kuorodhesa vinywaji vilivyokwisha Kwa ajili ya manunuzi.
โข Atafanya Kazi Kwa siku 5 za wiki.
๐๐ข๐๐ ๐ณ๐ ๐ฆ๐ฐ๐จ๐ฆ๐๐๐ฃ๐ข.
โข Awe na elimu kuanzia darasa la saba
โข Awe na uzoefu Kazi ya bar
โขMuombaji awe wa jinsia ya kike , mkazi wa Dar es salaam maeneo ya Tegeta, Goba na Madale, wenye ujuzi wa kuuza bar counter na kutengeneza cocktail na mocktail watapewa kipaumbele.
MUHIMU
โข Wasiliana nasi kwa WhatsApp namba .
โข Elezea uzoefu wako katika kazi.
โข Tuma picha yako full kwa ajili ya utambulisho.
๐๐๐ฅ๐ข๐ฉ๐จ.
โข Mshahara 120,000 Kwa mwezi .
๐๐๐ฃ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ฎ.
โข Atauza vinywaji na kutoa huduma Kwa wateja.
โข Kufanya hesabu na kutunza kumbukumbu.
โข Kuorodhesa vinywaji vilivyokwisha Kwa ajili ya manunuzi.
โข Atafanya Kazi Kwa siku 5 za wiki.
๐๐ข๐๐ ๐ณ๐ ๐ฆ๐ฐ๐จ๐ฆ๐๐๐ฃ๐ข.
โข Awe na elimu kuanzia darasa la saba
โข Awe na uzoefu Kazi ya bar
โขMuombaji awe wa jinsia ya kike , mkazi wa Dar es salaam maeneo ya Tegeta, Goba na Madale, wenye ujuzi wa kuuza bar counter na kutengeneza cocktail na mocktail watapewa kipaumbele.
MUHIMU
โข Wasiliana nasi kwa WhatsApp namba .
โข Elezea uzoefu wako katika kazi.
โข Tuma picha yako full kwa ajili ya utambulisho.
๐๐๐ฅ๐ข๐ฉ๐จ.
โข Mshahara 120,000 Kwa mwezi .