Mfanyakazi anahitajika

Mfanyakazi anahitajika

berylyn

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2021
Posts
913
Reaction score
2,741
Natafuta mfanyakazi wa kuuza na kuhudumia katika Grocery/bar.

๐Œ๐š๐ฃ๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฆ๐ฎ.
โ€ข Atauza vinywaji na kutoa huduma Kwa wateja.
โ€ข Kufanya hesabu na kutunza kumbukumbu.
โ€ข Kuorodhesa vinywaji vilivyokwisha Kwa ajili ya manunuzi.
โ€ข Atafanya Kazi Kwa siku 5 za wiki.


๐’๐ข๐Ÿ๐š ๐ณ๐š ๐ฆ๐ฐ๐จ๐ฆ๐›๐š๐ฃ๐ข.
โ€ข Awe na elimu kuanzia darasa la saba
โ€ข Awe na uzoefu Kazi ya bar
โ€ขMuombaji awe wa jinsia ya kike , mkazi wa Dar es salaam maeneo ya Tegeta, Goba na Madale, wenye ujuzi wa kuuza bar counter na kutengeneza cocktail na mocktail watapewa kipaumbele.

MUHIMU
โ€ข Wasiliana nasi kwa WhatsApp namba .
โ€ข Elezea uzoefu wako katika kazi.
โ€ข Tuma picha yako full kwa ajili ya utambulisho.

๐Œ๐š๐ฅ๐ข๐ฉ๐จ.
โ€ข Mshahara 120,000 Kwa mwezi .
 
Picha full ni utambulisho tu.
 
Uchawi 120,000 vinginevyo, kila kitu mzuka.
Kipengele, kukaa counter na kuhudumia wateja,
Yule dada aliyetoka mwanza mumtag vijana wangu apate ajira. Maana yule popote kambi.
 
Uchawi 120,000 vinginevyo, kila kitu mzuka.
Kipengele, kukaa counter na kuhudumia wateja,
Yule dada aliyetoka mwanza mumtag vijana wangu apate ajira. Maana yule popote kambi.
Ni yupi huyo mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom