KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Jamani jamani kwa aliyeona taarifa ya habari ya saa mbili usiku huu ITV inasikitisha.Mtoto wa darasa la pili abakwa na mfanyabiashara mkubwa mjini Arusha tena mwenye asili ya kiasia cha kusikitisha amepewa dhamana ya sh milioni 2