Mzee Yusuph kurudia mambo ya Dunia na kuyaacha ya kumuabudu Mola mleziKuna mpya gani huku ?
Huyo anatakiwa kukumbushwa na afanye toba ya kweli, kisha awe na msimamo.Mzee Yusuph kurudia mambo ya Dunia na kuyaacha ya kumuabudu Mola mlezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawakukosea wahenga waliposema usitoe ahadi yoyote ukiwa na furaha.Hatimaye mfalme wa taarabu Alhaji Mzee Yusuph ametangaza rasmi ujio wake kwa mara nyingine kwenye muziki wa taarabu.
View attachment 1389678
Kwa kifupi tangu mfalme akae nje ya muziki wa taarabu , muziki wa taarabu ulikosa radha kabisa maana waimbaji waliobaki wanapiga piga kelele tu cha maana wanachokiimba hakuna.
Tumemiss kusikia ngoma kali za kipindi kile kama vile Wasiwasi Wako ndio maradhi yako,My Valentine, mpenzi chocolate, VIP, Wagombano ndio wapatanao , Two in One nk.
View attachment 1389681
Mzee Yusuph alifanikiwa kuibua vipaji kadhaa cya wasanii wanaofanya vizuri kwenye muziki wa taarabu kama vile Abuubakar Sudi (Prince Amigo) ,Mohammed Ally (mtoto pori), Isha Ramadhani (Isha Mashauzi), Fatma Mahmoud (Fatma Nyoro), Rahma Machupa (Messi) ,Mwasiti Kitoronto nk.
Kwa sasa wasanii walioibuliwa na mzee Yusuph wanafanya vizuri kwenye bendi zao mpya wanazofanya kazi, mfano Fatma Nyoro ni msanii tegemezi wa Yah TMK , Rahma Machupa na Mohammed Ally na Mwasiti Kitoronto ni wasanii tegemezi wa Nakshi Nakshi Modern taarabu chini ya father Mauji na Chidy boy.
View attachment 1389683
Mashabiki tunamsubiri kwa hamu mfalme aturudishe kundini mashabiki zake tulioacha kusikiliza taarabu tangu yeye ajiweke kando na muziki huo.
Na kwa hakika jamaa atapigahela sana .
Mzee usiseme hivyo kumbuka huyo suma lee bado anapumua ingawa simuombei arudi kwenye ujahilinampa sana big up Suma lee yeye ameweza kuhimili kumtumikia Allah wake huyu Yusuf amefeli vibaya
Imani ni kuwa na yakini moyoni juu ya kuwepo kwa jambo usiloliona lakini......
Ile ni ngumu huezi nunua kitu kwa pesa yako halafu eti mtu anakwambia choma.Hatukupata mrejesho kwa waliochoma
hata kama ila huyu mzee yusuf kachemka mapema sanaMzee usiseme hivyo kumbuka huyo suma lee bado anapumua ingawa simuombei arudi kwenye ujahili
Mambo ya imani ni mapana sana kwa fikra zako zilivyo si rahisi kutambua loloteNi rahisi zaidi kusema mungu unamtengeneza kwa akili yako.
Imeandikwa "huwezi kumshawishi mungu"Mambo ya imani ni mapana sana kwa fikra zako zilivyo si rahisi kutambua lolote
Sent using Jamii Forums mobile app
Njaa SI mchezo
Yule wa kishua mkuu...huyu mzee ana majukum na yeye ndio kichwa cha familia.nampa sana big up Suma lee yeye ameweza kuhimili kumtumikia Allah wake huyu Yusuf amefeli vibaya
Wapiga hela kwenye uislam hakuna labda huko Vatican huku imani tu... na hata hizo kaswida unazozisikia watu wanaimbia kwa mapenzi tu ya mwenyezi mungu na mtume lkn hamna kipato chochote kitakachokufa labda utegemee ndo iwe kazi.... tofauti na uko walter chilambo game imemshinda kaamua kukimbilia huko kwa midundo ile ile na style zile zile kasoro maneno kabadilisha kidogo tu anapiga hela...Nilishangaa sana, bila majibu, huyu mtu wa watu kutoka ktk huu muziki wa Taarabu. alidanganywa na wapiga hela wa Dini. kupitia Dini kuwa anacho fanya ni dhambi. kumbe Dini yenyewe ilianzishwa Vatican ili kuvuruga Maisha ya watu. Prince Katega kamfungua Macho!
sasa anarudi kwa kasi! leo anapiga Bahari beach Motel kule Kunduchi
We ndo msemaji wake mkuuKagundua dini ni utapeli Kama ulivyo utapeli mwingine
Itakuwa mungu wako yule aliening'inizwa pale msalabani na wanadamu aliewaumba mwenyewe mana si kashfa hizo, huyo uliemwita mwamedi anaingiaje apo na mzee yusuf kurudi kwenye game?