Mfalme ametishaaa

Robot la Matope

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2015
Posts
8,584
Reaction score
17,527



HABARI KATIKA PICHA

Kiongozi wa Serikali ya Papua New Guinea, Boka Kondra akihufuatilia kwa makini mijadala alipokuwa anahudhuria moja ya vikao vya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani.

Boka Kondra ni mwakilishi wa watu jamii ya Ngalum, Uropkulin na Kasipka na koo za Milima ya nyota na Koteka.

Pia, Boka Kondra amepata kuwa Mbunge na Waziri wa Utalii kwa muda mrefu.
 
Picha imetulia
 
Huyo jamaa katisha sana
Sipati picha mizungu ilivyo mtolea macho...!!
Nafikiri wamemfanya gumzo.
 
Hawa Massiah wao ni Bwana wake Malkia Elizabeth Prince Philip wanaamini atarejea kwao na kuwa fanya wawe matajiri japo walisikitika sana walipoambiwa amestaafu
 
Nahisi comment yako imemnyong'onyeza san mleta uzi.Mana katoa picha na maelezo mengiiiii....kisha we umecomment kiuchache tu"sawa mkuu"
Hahaha usijali mkuu vitu vingine vya kawaida sana
 

Akwende zake huko ndio sehemu yA kuacha vyumbu wazi hii
 
Kwa hiyo dushe limeenea katika pembe ile? Maana ni ndefu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…