Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Ndo huyohuyo huwa ni mpole na hapendi kubishana na binadamu huwa anakimbia ila akizidiwa akapata upenyo akakugonga msalie mtume
Huwa tunaambiwa sumu yake haina dawa. Kama ndiye basi tumekuwa tunamwonea sana huyu nyoka.
Hivi bibo ni nini?Kwenye mikorosho noma Sana hasa ukipanda juu kutungua bibo utakutana na huyo kiumbe mzito,
Miaka ya 80 nilikutana naye tabata dampo kwenye mikorosho ya watu ebwanae wacha nijirushe toka juu ya mti na kutoka nduki Kali,
Maumivu nilienda kuyasikilizia home!!!
Ila ni kweli hawa nyoka hawana madhara Hadi wachokozwe
Ni Tunda linalotokana na mikorosho.Hivi bibo ni nini?
Huyu nyoka kwa imani za kwetu haturuhusiwi kumwua. Na sijashuhudia MTU yeyote kagongwa na huyo nyoka. Ni mpole sana. Hana ugomvi tofauti na huyo black mamba/ koboko,aka mzee wa bifu.Kabila letu hamuamini kuwa ukipishana huyu nyoka ukiwa unaenda safari. Yan akikatiza mbele ya njia unayopita, safari yako inakuwa ya mafanikio.
Mtoa mada yuko sahihi,pamoja na upole huyo nyoka anasumu kali sana. Ni vile tu hapendi kuuma Mara kwa Mara .hadi pale anapohisi hatariGreen mamba hata siyo hatari kama mtoa mada ambayo anataka kutuamininisha na thread yake , nimecheza nao sana , Ukifika machame nkuu muulizie Riri utaambiwa tabia yake ya kuwafuga hawa viumbe since Akiwa std 2 Mpaka sasa hivi kaachana nao kashakuwa mkubwaaa
Mtoa mada yuko sahihi,pamoja na upole huyo nyoka anasumu kali sana. Ni vile tu hapendi kuuma Mara kwa Mara .hadi pale anapohisi hatari
Acha utani mkuu.Mkuu green mamba wameniuma mara kibao sijawahi pata effect na pia sijawahi kwenda hosp, nimehangaika nao sana hao wadudu, labda nilikuwa nang'atwa na local green mambas siyo intaneshino
ila nafikiri sio huyu, yule nyoka mwingine ni wakijani kama huyu na mpole sana. ila huyu anaonekana kwa mwonekano ni mkorofiMkuu Upo Sahihi Na Hilo Jina Ni Kwa Wakwere ila Wazaramo wanamuita NYOKA UKUTI
Asante mkuuNi Tunda linalotokana na mikorosho.
Mkorosho huwa unazaa korosho ambayo inakuwa imeambatana na bibo.
Mabibo yanaliwa kama matunda mengine pia yanatumika kutengenezea wine na gongo
View attachment 1103177
Mkoa wa pwani BgamoyoKlm moja hiyo mkuu?? Au bukoba??
Mkuu green mamba wameniuma mara kibao sijawahi pata effect na pia sijawahi kwenda hosp, nimehangaika nao sana hao wadudu, labda nilikuwa nang'atwa na local green mambas siyo intaneshino