M Mtoto wa Shule JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 19,641 Reaction score 14,248 Oct 7, 2019 #21 Nantahulila said: Wasabato buana Click to expand... Inawezekana wewe umeyasoma yote. Mwenzio hata sikuelewa amendika nini!
Nantahulila said: Wasabato buana Click to expand... Inawezekana wewe umeyasoma yote. Mwenzio hata sikuelewa amendika nini!
The Monk Platinum Member Joined Oct 12, 2012 Posts 20,318 Reaction score 46,060 Oct 7, 2019 #22 Hii ni intelligence au dini?
rajiih JF-Expert Member Joined Apr 4, 2019 Posts 500 Reaction score 757 Oct 7, 2019 #23 Mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie...
Nyaru-sare JF-Expert Member Joined Aug 2, 2019 Posts 5,261 Reaction score 3,721 Dec 10, 2019 #24 Mfia dini said: Toa upuuzi wako hapa... . ....... Point Direct Mpinga kristo ni flan sio kutangatanga Click to expand... wala usipate tabu anamlenga Papa wa Vatican ila muoga, anaogopa kufanywa km Gwajima
Mfia dini said: Toa upuuzi wako hapa... . ....... Point Direct Mpinga kristo ni flan sio kutangatanga Click to expand... wala usipate tabu anamlenga Papa wa Vatican ila muoga, anaogopa kufanywa km Gwajima
Nyaru-sare JF-Expert Member Joined Aug 2, 2019 Posts 5,261 Reaction score 3,721 Dec 10, 2019 #25 Mungu akimsamehe Shetani mtajisikia vibaya sana, wale walikaa wote Heaven, Na Mungu kwanza hamchukii shetani, soma Biblia yote! Hivi akitubu je? Ila wanadamu duu wanamchukia km nini!
Mungu akimsamehe Shetani mtajisikia vibaya sana, wale walikaa wote Heaven, Na Mungu kwanza hamchukii shetani, soma Biblia yote! Hivi akitubu je? Ila wanadamu duu wanamchukia km nini!