A Abel edward otieno Member Joined Nov 15, 2017 Posts 56 Reaction score 24 Oct 17, 2019 #41 ITEGAMATWI said: Kikwetu tunawaita Nsha Click to expand... We utakua chambu
Extrovert JF-Expert Member Joined Feb 29, 2016 Posts 72,149 Reaction score 190,639 Oct 17, 2019 #42 Master plan said: Hawa viumbe walitutesa sana kipindi cha shule ya Msingi. Yaani tunawawinda kuanzia sa4 asubuhi ni kukimbizana tu hadi jioni na hatuwapati tunaishia kuua Makenge tu daah. Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣 nyie mlidhani ni kuku hao??? Kinachoweza kumkimbiza kikampata huyo ni Simba,Chui,Duma ama risasi!
Master plan said: Hawa viumbe walitutesa sana kipindi cha shule ya Msingi. Yaani tunawawinda kuanzia sa4 asubuhi ni kukimbizana tu hadi jioni na hatuwapati tunaishia kuua Makenge tu daah. Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣 nyie mlidhani ni kuku hao??? Kinachoweza kumkimbiza kikampata huyo ni Simba,Chui,Duma ama risasi!
Deejay nasmile JF-Expert Member Joined Nov 8, 2011 Posts 5,817 Reaction score 5,403 Sep 8, 2021 #43 Faana said: Anakubali kufugwa, je naweza kumpataje kwa lengo la kumfuga Click to expand... Alivo na mashauzi vile utamuweza kumfuga isha wewe
Faana said: Anakubali kufugwa, je naweza kumpataje kwa lengo la kumfuga Click to expand... Alivo na mashauzi vile utamuweza kumfuga isha wewe
Makanyaga JF-Expert Member Joined Sep 28, 2007 Posts 11,549 Reaction score 7,487 Sep 8, 2021 #44 Mpauko said: Urefu=Isha mkubwa hufikia urefu wa sentimita 70 hadi 95. Kimo= kimo cha isha hufikia sentimita 45 hadi 60. Uzito= wanyama hawa huwa na uzito wa kilogramu 7 hadi 16. Click to expand... Rekebisha hivyo vipimo vinaweza kuwa haviko sawa
Mpauko said: Urefu=Isha mkubwa hufikia urefu wa sentimita 70 hadi 95. Kimo= kimo cha isha hufikia sentimita 45 hadi 60. Uzito= wanyama hawa huwa na uzito wa kilogramu 7 hadi 16. Click to expand... Rekebisha hivyo vipimo vinaweza kuwa haviko sawa
blackice2100 JF-Expert Member Joined May 11, 2020 Posts 2,214 Reaction score 2,919 Dec 20, 2022 #45 Makanyaga said: Rekebisha hivyo vipimo vinaweza kuwa haviko sawa Click to expand... Alipitiwa kidogo maana mnyamapori jamii ya swala mwenye kimo kidogo zaidi ni dikdik,,,, maana natafuta history ya dikdik nikajikuta hapa,,,,
Makanyaga said: Rekebisha hivyo vipimo vinaweza kuwa haviko sawa Click to expand... Alipitiwa kidogo maana mnyamapori jamii ya swala mwenye kimo kidogo zaidi ni dikdik,,,, maana natafuta history ya dikdik nikajikuta hapa,,,,