Taarifa mbaya Sana hii...
Nimeshamuonya huyu binti zaidi ya mara kumi kuwa aache kuambukiza watu HIV makusudi lakini ni kiburi sana na amedhamiria kuwafyeka wanaume wote wakware.
Anaishi Kakola km 75 kutoka Kahama mjini ambako kuna mgodi mkubwa wa dhahabu na migodi mingine midogo ya wachimbaji wadogo wa gold,anafanya kazi ktk baa ya NEW PEACE.
Ni mzuri sana wa sura, umbo namba nane, rangi ya chocolate, ukimuona utadhani ni mnyarwanda, urembo wake wa sura ya baby face na tak* kubwa la kufa mtu ambapo akitembea hutikisa lenyewe automatically ndo vinawafanya vijana wenzangu waogolee kwenye moto bila kujua.
Ni wachache mno huko Kakola wanaomjua Eliza kuwa tayari kaugua. Kwa mkazi yeyote wa Kakola ambaye hataamini aende ktk kituo cha afya cha Lunguya siku ya alhamisi ktk wk yoyote ile, atakutana na Eliza huko kafuata dozi ya kupunguza makali.
Mwezi jana Eliza kamuambukiza HIV kijana mmoja mchimbaji mdogo (note, Eliza si jina lake halisi).
Kazi kwenu vijana wakware,la mgambo limelia, kila anayefika Kakola tahadhari kwake na kwingine pia, tujilinde.
r.i.p wana kakola wote.....bwana ametoa bwana ametwaaa.....
Jina la bwana lihimidiwe.......
A. M. E. N
sent from my blackberry 9800 using jamiiforums
Weka picha
kabla sijaleta humu tayari nimeokoa zaidi ya vijana 50 huko kakola,wanaendelea kunishukuru kila siku,shortly taarifa zimesambaa.
niombe msamaha haraka kwenye pm kabla sijakushukia,yule ni barmaid hakatai mwanaume provided uwe na pesa tu,sasa unaposema kaninyima naona una lako jambo wewe si bure,yule ni mrembo na vijana wengi wanampapatikia tofauti na wengine,pale kuna wagonjwa wengi ila hawajanona kama Eliza ndo maana natoa caution,kosa langu liko wapi? acha ujinga wewe.
Mhola sana ng'wizukulu wane!Hahahaaaa, mhala sana mzokolo manjagata?
Imanjagata yeneyi yahe ng'hana?
Zoo yeneyi nkoi.SHY one iyeniyi!! Iyoi ya mahe ng'hana Imwakajembe?
Wasukuma hiyo papuchi itawamaliza, mwalilomba nyoooo!!!!!!!!!!!
Dawa za ARV hutolewa mara moja kwa mwezi, sasa yy kila alhamisi ktk wiki yyt anaenda kufanya nn, pili si kila akitembea na mtu kamuambukiza labda kama anatoa 0714 chance itakuwa kubwa
Nilidhani ni Tlawi au Tumati.......kumbe ni huko mbali huko........
kama unakuja hapa kutaadharisha watu halafu hutaji jina kamili au picha unategemea nini au wewe na huyo Eliza Wako muna njama moja ya kuuwa watu?Nimeshamuonya huyu binti zaidi ya mara kumi kuwa aache kuambukiza watu HIV makusudi lakini ni kiburi sana na amedhamiria kuwafyeka wanaume wote wakware.
Anaishi Kakola km 75 kutoka Kahama mjini ambako kuna mgodi mkubwa wa dhahabu na migodi mingine midogo ya wachimbaji wadogo wa gold,anafanya kazi ktk baa ya NEW PEACE.
Ni mzuri sana wa sura, umbo namba nane, rangi ya chocolate, ukimuona utadhani ni mnyarwanda, urembo wake wa sura ya baby face na tak* kubwa la kufa mtu ambapo akitembea hutikisa lenyewe automatically ndo vinawafanya vijana wenzangu waogolee kwenye moto bila kujua.
Ni wachache mno huko Kakola wanaomjua Eliza kuwa tayari kaugua. Kwa mkazi yeyote wa Kakola ambaye hataamini aende ktk kituo cha afya cha Lunguya siku ya alhamisi ktk wk yoyote ile, atakutana na Eliza huko kafuata dozi ya kupunguza makali.
Mwezi jana Eliza kamuambukiza HIV kijana mmoja mchimbaji mdogo (note, Eliza si jina lake halisi).
Kazi kwenu vijana wakware,la mgambo limelia, kila anayefika Kakola tahadhari kwake na kwingine pia, tujilinde.