Muuza viatu JF-Expert Member May 14, 2020 3,840 7,916 Nov 30, 2021 #21 kifinga said: watu walikua wanampenda sera zake zilikua nzuri kule wenzetu heshima ni umeifanyia nini nchi sio kujinufaisha ndio mana unakuta rais anatembea mtaani hana hata walinzi kwasababu watu wanampenda na unaweza kumchallange kwa hoja mkaongea Click to expand... Rais bila ulinz??? Labda unamaanisha rais wa manzese
kifinga said: watu walikua wanampenda sera zake zilikua nzuri kule wenzetu heshima ni umeifanyia nini nchi sio kujinufaisha ndio mana unakuta rais anatembea mtaani hana hata walinzi kwasababu watu wanampenda na unaweza kumchallange kwa hoja mkaongea Click to expand... Rais bila ulinz??? Labda unamaanisha rais wa manzese
Smart Guy JF-Expert Member Dec 19, 2016 6,701 6,658 Nov 30, 2021 #22 Muuza viatu said: Rais bila ulinz??? Labda unamaanisha rais wa manzese Click to expand... Hahaaa
Utingo JF-Expert Member Dec 15, 2009 10,270 8,033 Nov 30, 2021 #23 ulaya huwa hawastaafu? manake wakisikia wa afrika anataka kutawala zaidi ya miaka kumi wanakosa usingizi, wanabweka kila mahali
ulaya huwa hawastaafu? manake wakisikia wa afrika anataka kutawala zaidi ya miaka kumi wanakosa usingizi, wanabweka kila mahali
Kasomi JF-Expert Member Sep 3, 2014 11,036 20,337 Nov 30, 2021 Thread starter #24 Utingo said: ulaya huwa hawastaafu? manake wakisikia wa afrika anataka kutawala zaidi ya miaka kumi wanakosa usingizi, wanabweka kila mahali Click to expand... Hao watu hua hawapendi sisi tutanye vitu vinavyo waumiza vichwa.
Utingo said: ulaya huwa hawastaafu? manake wakisikia wa afrika anataka kutawala zaidi ya miaka kumi wanakosa usingizi, wanabweka kila mahali Click to expand... Hao watu hua hawapendi sisi tutanye vitu vinavyo waumiza vichwa.
kifinga JF-Expert Member Dec 5, 2011 5,249 9,499 Dec 1, 2021 #25 Muuza viatu said: Rais bila ulinz??? Labda unamaanisha rais wa manzese Click to expand... ulinzi anao ila sio wa mbwembwe kama kwetu huku hata nyumba yake anakaa mtaani tu kama upanga pale na wananchi wengine na kwake panajulikana
Muuza viatu said: Rais bila ulinz??? Labda unamaanisha rais wa manzese Click to expand... ulinzi anao ila sio wa mbwembwe kama kwetu huku hata nyumba yake anakaa mtaani tu kama upanga pale na wananchi wengine na kwake panajulikana
COMOTANG JF-Expert Member Jan 6, 2021 2,131 1,808 Dec 10, 2021 #26 Muuza viatu said: Rais bila ulinz??? Labda unamaanisha rais wa manzese Click to expand... Hahahaaa au wa Bahiroad shimo la ndizi
Muuza viatu said: Rais bila ulinz??? Labda unamaanisha rais wa manzese Click to expand... Hahahaaa au wa Bahiroad shimo la ndizi