Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,936
“Wale ambao wanafikiri kwamba, kwa Mkoa wa Kagera hali imerudi katika hali ya kawaida kufuatia madhara yaliyotokana na tetemeko la ardhi mwaka jana, huo sio ukweli kabisa hata Kata yangu ya Kahororo wananchi bado wanalala nje.