Olaigwanani lang
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 547
- 183
inashangazasana tena sana ..jiji la dar es salaam kuwa chafu ama niseme linaongoza kwauchafu...bila shaka wakazi wa hapa mnashuhudia mitaa ilivo michafu na tabia yasasa ambayo ni sugu ya baadhi ya watu kukusanya uchafu kwenye mifuko nakuitelekeza barabarani na kwenye milango ya watu..
kazi ya meya ni kusimamia jiji kuwa safi na manispaa anayoiongoza...hilihusimamiwa na wenyeviti wa mitaa lakini hapa kwetu tanzania hawa viongozi wamitaa na vitongoji ni kama huwa hawako kwani wengi wao hawajui majukumu yao..
wamekuwa wakichaguliwa tuu...lakini hawaoni wala hawajui wanatakiwa kufanyanini...halafu chama kinatumia uwingi wa viongozi wa serikali za mitaa kuonyeshakuwa wanaungwa mkono na wananchi "ndiyo...!" lakini unaweza kukuta nimawe ndiyo yamechaguliwa...
sasa huyu meya wa dar es salaam ni nini kazi yake kwani amekuwa akionekanamjini katika sehemu maarufu..akitanua tuu huku mazingira yanayomzunguka yakiwayameoza....
jamani sasa tufanyaje kwa hili...?
hebu tusaidiane..kwa michango mbalimbali...labda atakumbuka kazi yake.....
kazi ya meya ni kusimamia jiji kuwa safi na manispaa anayoiongoza...hilihusimamiwa na wenyeviti wa mitaa lakini hapa kwetu tanzania hawa viongozi wamitaa na vitongoji ni kama huwa hawako kwani wengi wao hawajui majukumu yao..
wamekuwa wakichaguliwa tuu...lakini hawaoni wala hawajui wanatakiwa kufanyanini...halafu chama kinatumia uwingi wa viongozi wa serikali za mitaa kuonyeshakuwa wanaungwa mkono na wananchi "ndiyo...!" lakini unaweza kukuta nimawe ndiyo yamechaguliwa...
sasa huyu meya wa dar es salaam ni nini kazi yake kwani amekuwa akionekanamjini katika sehemu maarufu..akitanua tuu huku mazingira yanayomzunguka yakiwayameoza....
jamani sasa tufanyaje kwa hili...?
hebu tusaidiane..kwa michango mbalimbali...labda atakumbuka kazi yake.....