Methali za kabila la wajita

Methali za kabila la wajita

Nini maana ya "chikananda gela gela nikuyane bhusima na nyama"?
Chikananda ni karanga zilizosiginwa au ufuta uliosiginwa, Miaka hiyo tulikuwa tunachukua Chikananda unaweka kwenye kiganja cha mkono wa kushoto, halafu unapigapiga mkono kwa chini ukiwa unaimba huo wimbo. Kugela ni kutoa mafuta.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom