Messi tayari kashakabidhiwa kiatu chake cha dhahabu/Sita

Buenos Aires

JF-Expert Member
Dec 29, 2015
1,895
1,608
20191017_205245.png
20191017_204636.png

MESSI GOLDEN SHOE 6
RONALDO 4
DE LIMA 1

La Pulga; The King.

Mchezaji bora wa dunia Leonel Messi jana amekabidhiwa kiatu chake cha Dhahabu baada ya kuwa mfungaji bora wa magoli kwa ligi za Barani Ulaya (European Golden Shoe) msimu wa 2018/2019. Akiweka kambani magoli 36.

Messi anakuwa mchezaji wa kwanza katika historia ya kandanda barani Ulaya kutwaa viatu 6 vya dhahabu.

2009/2010: 34
2011/2012: 50
2012/2013: 46
2016/2017: 37
2017/2018: 34
2018/2019: 37


20191017_205331.png

Washindi wa kiatu cha dhahabu barani Ulaya kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita.
 

Attachments

  • 20191017_205413.png
    20191017_205413.png
    355.9 KB · Views: 1
Kwanza inabidi ujue amecheza mechi ngapi Hadi Sasa ? Average yake ya goal kwa mechi ni ipi!
Dah...sijui nimeeleweka...

Nataka kujua magoli aise sitaki stori mingi

Tushajua Cristiano Ronaldo ana goli 700 ..tunataka kujua messi
 
Dah...sijui nimeeleweka...

Nataka kujua magoli aise sitaki stori mingi

Tushajua Cristiano Ronaldo ana goli 700 ..tunataka kujua messi
Ko unataka umfananishe Messi na Ronaldo kufunga magoli mengi?
Ronaldo amecheza mechi nyingi kuliko messi, ko utakua hujamtendea haki Messi, labda ka ushabiki wa timu Ronaldo na timu Messi.
Ni vyema tuone mwisho wao wa kucheza soka ndo tuje tuangalie record zao za magoli na zingine.
 
Ko unataka umfananishe Messi na Ronaldo kufunga magoli mengi?
Ronaldo amecheza mechi nyingi kuliko messi, ko utakua hujamtendea haki Messi, labda ka ushabiki wa timu Ronaldo na timu Messi.
Ni vyema tuone mwisho wao wa kucheza soka ndo tuje tuangalie record zao za magoli na zingine.
Stori mingi... jibu la swali halionekani...

Wavivu wa kufanya research... Messi has 672 goals in his career na mechi 828, wakati Mnyama Ronaldo ana goli CR700 na mechi 974

Yani ka difference ka mechi 146 ndio mnaona difference kubwa sana hadi mumtetee kwamba eti hajacheza mechi nyingi ?

Hapo Messi ana kazi ya ziada ya kufunga magoli 28 kumfikia Mnyama Ronaldo, hapo ahakikishe kwa kila mechi zinazokuja awe na goli sio chini ya goli 1, na sio kwamba Mnyama Ronaldo atakua kalala..atakua anatupia na yeye
 
Stori mingi... jibu la swali halionekani...

Wavivu wa kufanya research... Messi has 672 goals in his career na mechi 828, wakati Mnyama Ronaldo ana goli CR700 na mechi 974

Yani ka difference ka mechi 46 ndio mnaona difference kubwa sana hadi mumtetee kwamba eti hajacheza mechi nyingi ?

Hapo Messi ana kazi ya ziada ya kufunga magoli 28 kumfikia Mnyama Ronaldo, hapo ahakikishe kwa kila mechi zinazokuja awe na goli sio chini ya goli 1, na sio kwamba Mnyama Ronaldo atakua kalala..atakua anatupia na yeye
oya jaman mbn huyu team ronaldo anataka atushike masikio anaxema ronaldo kamzd mess mech 46.........labda mm cjui hesabu tusaidiane hapa 974--828=146 mbn anataka kufcha ukwel
 
Stori mingi... jibu la swali halionekani...

Wavivu wa kufanya research... Messi has 672 goals in his career na mechi 828, wakati Mnyama Ronaldo ana goli CR700 na mechi 974

Yani ka difference ka mechi 46 ndio mnaona difference kubwa sana hadi mumtetee kwamba eti hajacheza mechi nyingi ?

Hapo Messi ana kazi ya ziada ya kufunga magoli 28 kumfikia Mnyama Ronaldo, hapo ahakikishe kwa kila mechi zinazokuja awe na goli sio chini ya goli 1, na sio kwamba Mnyama Ronaldo atakua kalala..atakua anatupia na yeye
Nenda kajifunze hesabu za kutoa na kujumlisha kwanza ndio uje kutetea hoja yako.

Kwa utofauti wa goli 28 na mech 146, kawaida sanaa kwa Mess kumfikia Ronaldo.

Point ya msingi ni kiatu cha dhahabu, Messi kapata mara 6 while Ronaldo mara 4 kwa tofauti ya mechi 146.
 
Stori mingi... jibu la swali halionekani...

Wavivu wa kufanya research... Messi has 672 goals in his career na mechi 828, wakati Mnyama Ronaldo ana goli CR700 na mechi 974

Yani ka difference ka mechi 146 ndio mnaona difference kubwa sana hadi mumtetee kwamba eti hajacheza mechi nyingi ?

Hapo Messi ana kazi ya ziada ya kufunga magoli 28 kumfikia Mnyama Ronaldo, hapo ahakikishe kwa kila mechi zinazokuja awe na goli sio chini ya goli 1, na sio kwamba Mnyama Ronaldo atakua kalala..atakua anatupia na yeye
yani mechi 146 unaona kidogo
 
Hahahaha usipanick sana hahahaha

Mtu anakumbukwa kwa magoli mengi sio viatu vya dhahabu mwangalie Mnyama Ronaldo ana goli 700..

Pele anakumbukwa hadi Leo kwa magoli yake 1281
Nenda kajifunze hesabu za kutoa na kujumlisha kwanza ndio uje kutetea hoja yako.

Kwa utofauti wa goli 28 na mech 146, kawaida sanaa kwa Mess kumfikia Ronaldo.

Point ya msingi ni kiatu cha dhahabu, Messi kapata mara 6 while Ronaldo mara 4 kwa tofauti ya mechi 146.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom