VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Nahodha wa Argentina Lionel Messi amedhihirisha kuwa yeye ni wa kiwango kingine pale alipoiongoza timu yake kupata ushindi dhidi ya Uruguay ya akina Luis Suarez,Diego Forlan na Edinson Cavani. Messi aliyefunga mabao mawili kati ya matatu,aliichanachana kabisa safu ya ulhnzi ya Uruguay. Argentina wameshinda kwa mabao 3-0. Bao lingine amefunga Sergio Aguero...