Message ya kugomea sensa

Waislamu ni watu wa ajabu sana, Ok sensa imehesabu waislamu ni 87% what next? Barabara zitakuwa ni ten ways au mafuta yatashuka bei?

itakua rahisi kuchagua rais muislam,kupanga migomo na maandamano n.k....majority always rules
 
Waislamu ni watu wa ajabu sana, Ok sensa imehesabu waislamu ni 87% what next? Barabara zitakuwa ni ten ways au mafuta yatashuka bei?

itakua rahisi kuchagua rais muislam,kupanga migomo na maandamano n.k....wengi wape
 
Shetani kapata wafuasi wenye uelewa mdogo kufanya kazi yake ya kuua na kuangamiza watu wengine.
 


bora umewafariji.
 

Wanahangaika tu, pole yao kwa kuwa gizani!
 
Wanabodi,
Data kuhusu Tanzania kwa mujibu wa CIA ni hizi

[TABLE="align: left"]
[TR]
[/TR]
[TR]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Ethnic groups:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] mainland - African 99% (of which 95% are Bantu consisting of more than 130 tribes), other 1% (consisting of Asian, European, and Arab); Zanzibar - Arab, African, mixed Arab and African
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Languages:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] Kiswahili or Swahili (official), Kiunguja (name for Swahili in Zanzibar), English (official, primary language of commerce, administration, and higher education), Arabic (widely spoken in Zanzibar), many local languages
note: Kiswahili (Swahili) is the mother tongue of the Bantu people living in Zanzibar and nearby coastal Tanzania; although Kiswahili is Bantu in structure and origin, its vocabulary draws on a variety of sources including Arabic and English; it has become the lingua franca of central and eastern Africa; the first language of most people is one of the local languages
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Religions:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] mainland - Christian 30%, Muslim 35%, indigenous beliefs 35%; Zanzibar - more than 99% Muslim
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Population:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 43,601,796 (July 2012 est.)
country comparison to the world: 30 note: estimates for this country explicitly take into account the effects of excess mortality due to AIDS; this can result in lower life expectancy, higher infant mortality, higher death rates, lower population growth rates, and changes in the distribution of population by age and sex than would otherwise be expected
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Age structure:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 0-14 years: 42% (male 9,003,152/female 8,949,061)
15-64 years: 55.1% (male 11,633,721/female 11,913,951)
65 years and over: 2.9% (male 538,290/female 708,445) (2011 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Median age:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] total: 18.5 years
male: 18.2 years
female: 18.7 years (2011 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Population growth rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 1.96% (2011 est.)
country comparison to the world: 55 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Birth rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 31.81 births/1,000 population (2011 est.)
country comparison to the world: 38 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Death rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 11.92 deaths/1,000 population (July 2011 est.)
country comparison to the world: 31 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Net migration rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] -0.29 migrant(s)/1,000 population (2011 est.)
country comparison to the world: 127 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Urbanization:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] urban population: 26% of total population (2010)
rate of urbanization: 4.7% annual rate of change (2010-15 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Major cities - population:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] DAR ES SALAAM (capital) 3.207 million (2009)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Sex ratio:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] at birth: 1.03 male(s)/female
under 15 years: 1.01 male(s)/female
15-64 years: 0.98 male(s)/female
65 years and over: 0.75 male(s)/female
total population: 0.98 male(s)/female (2011 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Maternal mortality rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 790 deaths/100,000 live births (2008)
country comparison to the world: 12 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Infant mortality rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] total: 65.74 deaths/1,000 live births
country comparison to the world: 21 male: 72.42 deaths/1,000 live births
female: 58.87 deaths/1,000 live births (2011 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Life expectancy at birth:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] total population: 53.14 years
country comparison to the world: 205 male: 51.62 years
female: 54.7 years (2011 est.)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Total fertility rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 4.02 children born/woman (2011 est.)
country comparison to the world: 39 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Health expenditures:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 5.1% of GDP (2009)
country comparison to the world: 136 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Physicians density:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 0.008 physicians/1,000 population (2006)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Hospital bed density:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 1.1 beds/1,000 population (2006)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] HIV/AIDS - adult prevalence rate:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 5.6% (2009 est.)
country comparison to the world: 12 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] HIV/AIDS - people living with HIV/AIDS:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 1.4 million (2009 est.)
country comparison to the world: 6 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] HIV/AIDS - deaths:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 86,000 (2009 est.)
country comparison to the world: 4 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Major infectious diseases:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] degree of risk: very high
food or waterborne diseases: bacterial diarrhea, hepatitis A, and typhoid fever
vectorborne diseases: malaria and plague
water contact disease: schistosomiasis
animal contact disease: rabies (2009)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Children under the age of 5 years underweight:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 16.7% (2005)
country comparison to the world: 45 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Education expenditures:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] 6.8% of GDP (2008)
country comparison to the world: 18 [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Literacy:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] definition: age 15 and over can read and write Kiswahili (Swahili), English, or Arabic
total population: 69.4%
male: 77.5%
female: 62.2% (2002 census)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] School life expectancy (primary to tertiary education):
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] total: 9 years
male: 9 years
female: 9 years (2007)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD][/TD]
[/TR]
[TR="class: afr_light"]
[TD="width: 390"] Unemployment, youth ages 15-24:
[/TD]
[TD="align: right"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2"] total: 8.8%
country comparison to the world: 111 male: 7.4%

female: 10.1% (2005)

Nyingi ni za kubuni tuu ila ndizo zilizoko openi. Mfano tulipopata uhuru, tulikuwa na makabila 120, sasa wao wanasema tuna makabila 130, inamaana kuna makabila 10 yameongezeka, jee kuna yoyote mwenye kuyajua angalau majina ya hayo makabila 130?. Tunataka sensa iyajibu maswali haya!.

Data zao zinaonyesha kuwa Tanzania ndio nchi ya 6 duniani kwa Ukimwi?.

Tusiwategemee wazungu kutulisha kila kitu tena haya majasusi mabeberu ndio kabisa!, wana malengo yao!, sensa yetu ituletee kitu kitu!.

[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Pasco, CIA wanaweka data wanazohitahiji wao. Wana sababu ya kujua/kubuni idadi ya makabila au waumini wa dini mbalimbali. Sioni faida yoyote kwa serikali ya Tanzania kujua kabila au dini fulani ina watu wangapi? Data nyingine kama za HIV/AIDS hizi zinapatikana bila ya kuwa na sensa through a normal research process. Kwangu mimi ni afadhali kwenye sensa kukawa na swali linahusu nyumba za nyasi na mbavu za mbwa au watu/kaya wanapata mlo mara ngapi kwa siku.

Najua kuna watu wanataka sana kujua details za makabila na dini ili waweze kutengeza strategies za siasa. I know you know them!



 
Last edited by a moderator:
Waislamu ni watu wa ajabu sana, Ok sensa imehesabu waislamu ni 87% what next? Barabara zitakuwa ni ten ways au mafuta yatashuka bei?
Up-Next UAMSHO, AL-QUIDA, AL-SHABAB, AL-SHABIBI, AL-SAIDY, AL-JAAZIRA, AL-HALAMAINI, BHOKO HARAM watatangaza ufalme wao TZ.
 

o p .........................poor you
 

Pasco, hakuna ubaya wowote, you have made the point quite clear to the extent of being understood by a kindergarten pupil. Tatizo ni kwamba watu wanapinga kwa sababu ya religious sentiments only, and not objective reasons.
 

Viongozi wa dini ya kiislam kuwashawishi waumini wao toshiriki sensa inaweza kuwa ni njia mojawapo ya kupata idadi ya waislam hata kama haitakuwa sahihi sana. Watatumia hesabu rahisi za projections na zile hesabu za sensa. Kama projections zinaonesha Watanzania tupo 44 milioni, halafu kutokana na sensa, waliohesabiwa wakawa 30 milioni, watajua kuwa waislam ni karibu 14 milioni. Kutoshiriki kwao kunaweza kuwasaidia kujua idadi yao (kwa usahihi wa kiwango fulani) kuliko wakishiriki sensa.

Mimi binafsi sioni shida kama serikali ikaamua kuwasikiliza viongozi wa waislam huku ikifahamika kuwa kumsikiliza mtu si lazima umkubalie. Wawasikilize, wapime hoja zao, na kubwa zaidi ni dhamira yao. Kama dhamira yao ni njema, wanaweza kuwakubalia kuongeza kipengere wanachotaka lakini kama nia yao ni kuleta chokochoko na migogoro ya kidini, siyo tu wasisikilizwe bali pia wadhibitiwe kwa kosa la kusudio la kuvunja umoja wa Taifa letu.

Waislam kutokuwa na mfumo wa ndani wa kujua waumini wao kama walivyo wenzao wakristo isiwe sababu ya kuwakatalia kila kitu. Wao nao ni sehemu ya Watanzania, kutokuwa na mfumo wa kuwatambua waumini wao bila ya kutegemea sensa za kitaifa kama ilivyo kwa wakristo, isiwe sababu ya kupuuza maombi yao. Maana ni ukweli usiopingika kuwa taasisi za kidini za kikristo nchini zimejengeka na kuimarika sana ukilinganisha na taasisi za kiislam. Jukumu letu kubwa kama Watanzania, sote tukiwa na dhamira njema ni kuhakikisha taasisi hizi zenye athira katika mstakabali wetu zinajengeka, zinatambulika na kuongozwa. Taasisi za kiislam zisipoimarika kama zile za wenzao wa kikristo, na zikaweza kuwa na miongozo thabiti, ni rahisi sana watu wenye nia mbaya kuingia na kuzitumia kwa dhamira mbaya. Ningependa viongozi wa dini ya kiislam wenye nia njema kuwa na mawasiliano mazuri na wenzao wa kikristo ili kujifunza namna ya kujenga mifumo ya ndani ambayo haihusiani na mambo ya kiimani. Waislam wakiweza kuwa na mifumo ya ndani iliyoimarika, hata malalamiko na maombi ya kufanyiwa kila kitu na serikali yatapungua.

Na kwa viongozi wa dini ya kiislam, unapoomba unastahili zaidi kujenga hoja ili maombi yako yakubaliwe. Huwezi kuomba kwa vitisho, huko ni kukosa hekima. Serikali ina wajibu wa kutambua idadi ya watu wake lakini hailazimiki kutambua watu kwa makundi yao kama vile dini, kabila au koo. Nimetumia zaidi neno la 'viongozi wa dini ya kiislam' kwa vile sina uhakika kama haya ni matakwa ya waislam wote.
 
kuna tatizo gani kuondoa kipengele cha dini kwenye sensa?? hadi sasa sijapata jibu
 
Pasco, hakuna ubaya wowote, you have made the point quite clear to the extent of being understood by a kindergarten pupil. Tatizo ni kwamba watu wanapinga kwa sababu ya religious sentiments only, and not objective reasons.

Ndiyo maana nasema, viongozi wa waislam wasikilizwe. Hakuna ubaya kabisa wa kujua idadi ya waumini wa dini mbalimbali au makundi mbalimbali katika jamii yetu. Ombi la viongozi wa waislam likataliwe endapo tu kuna uhakika wa kutaka kuzitumia takwimu za sensa kwa nia mbaya, na hata katika hilo ni lazima kupima kwa ulinganifu, yaani faida na hasara za kufanya au kutofanya sensa ya namna hiyo. Viongozi wa waislam wana hoja lakini wapunguze munkari na mashinikizo. Wanachokiomba siyo kitu cha ajabu.
 
Ukweli ni kwamba dodoso lilishatengenezwa limeshakuwa CODED na kuwa pre-tested (piloted), hivyo haliwezi kuongezwa wala kupunguzwa hata kipengele kimoja. Wale ambao mnafanya utafiti mnafahamu mchakato wa kutengeneza madodoso.

Kama hiyo kampeini ya waislamu itafanikiwa ninasubiri kwa hamu kuona ZNZ katika sensa 2012 itakuwa na watu wangapi? Yangu macho.
 
Waislamu ni watu wa ajabu sana, Ok sensa imehesabu waislamu ni 87% what next? Barabara zitakuwa ni ten ways au mafuta yatashuka bei?

wanadhani wakiwa 78% wanaweza kupiga kura ya kuifanya Tanzania kujiunga na OIC. wana mawazo ya kwenye sahani tu!
 
Wameshasikilizwa na hoja zao zimekataliwa. Kama dini na yenyewe ingekuwa inatumika kwenye kupanga sera/mipango ya serikali ingekuwa ni sawa , lakini haitumiki.
 

Wacha mauongo bana

Tanzania's population has been estimated to consist of:
Christian 62%,
Muslim 35%,
followers of indigenous religious groups 3%
 

Sasa naanza kuamini kuwa Allah huenda sio huyu Mungu wetu tunaye muabudu. Yaani Allah anasubiri kutoa cha moto kwa atakaye shiriki Sensa., kaazi kweli ndugu zetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…