Meseji zangu zimefumaniwa na mchumba wangu

Meseji zangu zimefumaniwa na mchumba wangu

"Bora ndege mmoja aliye mikononi mwako, kuliko ndege kumi walioko mtini". Demu ndio kaingia mitini huyo. Tunajifunza kutokana na makosa, siku nyingine usiache ushahidi kwenye simu.
 
Muwe waaminifu bhana maisha hayo hadi lini
 
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza sms za mpenzi wangu zimefumaniwa na mchumba Wangu kipindi nimeacha Smu ndani nimeshindwa jinsi ya kujitetea kabisa ivi ameondoka kaenda kwao na kanitumia msg kuwa nisimzoee tena na vitu vingi tu
Sasa wana jamii nipeni mwongozo nifanyeje nmtumie msg gani aweze kunisamehe au nitumie mbinu gani mana namwitaji Sana mchumba huyu mwanamke
ndo ukome
 
Text Tu?.
Mie hayo ndio maisha yangu.
Nishakamatwa sana na text.
Cha msingi mpendane sana Tu.


Hapo bembeleza kdg.
Mnunulie iPhone X then so linaisha.
Omba na msamaha kdg
 
Msg za mpenzi wako zimefumaniwa na mchumba wako kwasababu ya uzembe wako

Sasa kesho mwambie tatu mzuka wamekupigia simu umekua mshindi wa juma dili alafu sibiri kupokea ugeni
 
Pole sana
Ulitaka akuchekee ulivyobwege! Chamsingi hapo achana nae mazima! Kama huna ndoa, huna mtoto naye usisumbuke kumfuata!
NOTE; Endapo ukimrudia nakuhakikishia ujiandae kisaikolojia KUGONGEWA! Lazima ata Revenge!
Wanawake huwa hawasahau miaka! Atakusamehe lakini hata kuwa mgumu akiombwa! Lazima atakulipizia!
Kwahiyo halo!
We MKAUSHIE MAZIMA! We endelea na huyo Mpya! Akirudi mwenyewe mchukue na umpe mimba azae halafu ndo umuoe! Kidogo itakuwa umempunguza makali
Fact, yan unawajua wanawake vzur daaa
 
Ushauri wangu ni kwamba uwe mpole na mpe muda kidogo hasira zipungue ndo umfate uongee nae na ukiri makosa.

Imewahi nitokea pia tena alisoma sms za zaidi ya mwanamke mmoja na mwingine akiwa kanitumia papuchi kabisa nayo akaona.
Aiseee...na bado mkarudiana[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji33][emoji33][emoji119][emoji119]
 
Pole.

Msg za michepuko zinafutwaga mpyendwa.
 
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza sms za mpenzi wangu zimefumaniwa na mchumba Wangu kipindi nimeacha Smu ndani nimeshindwa jinsi ya kujitetea kabisa ivi ameondoka kaenda kwao na kanitumia msg kuwa nisimzoee tena na vitu vingi tu
Sasa wana jamii nipeni mwongozo nifanyeje nmtumie msg gani aweze kunisamehe au nitumie mbinu gani mana namwitaji Sana mchumba huyu mwanamke

Endelea na aliekua anakutumia txt kwani shida ipo wapi
 
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza sms za mpenzi wangu zimefumaniwa na mchumba Wangu kipindi nimeacha Smu ndani nimeshindwa jinsi ya kujitetea kabisa ivi ameondoka kaenda kwao na kanitumia msg kuwa nisimzoee tena na vitu vingi tu
Sasa wana jamii nipeni mwongozo nifanyeje nmtumie msg gani aweze kunisamehe au nitumie mbinu gani mana namwitaji Sana mchumba huyu mwanamke
Sasa muongozo wa nn,si akiba unayo hapo?!!! Endelea na mchepuko,hiyo ni moja ya faida kede kede za kutokuwa mwaminifu
 
Mpe mda atarudi tu... hayo ni kawaida
 
Back
Top Bottom