Meseji zangu zimefumaniwa na mchumba wangu

Meseji zangu zimefumaniwa na mchumba wangu

NASEEB HASSAN

Member
Joined
Oct 7, 2017
Posts
42
Reaction score
27
cheating.jpg

Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza sms za mpenzi wangu zimefumaniwa na mchumba wangu kipindi nimeacha Simu ndani nimeshindwa jinsi ya kujitetea kabisa ivi ameondoka kaenda kwao na kanitumia sms kuwa nisimzoee tena na vitu vingi tu sasa wana jamii nipeni mwongozo nifanyeje nimtumie sms gani aweze kunisamehe au nitumie mbinu gani mana namwitaji Sana mchumba huyu mwanamke
 
Pole sana ulitaka akuchekee ulivyobwege chamsingi hapo achana nae mazima kama huna ndoa, huna mtoto naye usisumbuke kumfuata.

NOTE; Endapo ukimrudia nakuhakikishia ujiandae kisaikolojia KUGONGEWA! Lazima ata Revenge!
Wanawake huwa hawasahau miaka! Atakusamehe lakini hata kuwa mgumu akiombwa! Lazima atakulipizia!
Kwahiyo halo!
We mshukie mazima we endelea na huyo mpya akirudi mwenyewe mchukue na umpe mimba azae halafu ndo umuoe! Kidogo itakuwa umempunguza makali
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Mambo niiiiii.... Motooooo.
 
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza sms za mpenzi wangu zimefumaniwa na mchumba Wangu kipindi nimeacha Smu ndani nimeshindwa jinsi ya kujitetea kabisa ivi ameondoka kaenda kwao na kanitumia msg kuwa nisimzoee tena na vitu vingi tu
Sasa wana jamii nipeni mwongozo nifanyeje nmtumie msg gani aweze kunisamehe au nitumie mbinu gani mana namwitaji Sana mchumba huyu mwanamke
Bado wewe ndo unajua maudhui ya SMS ya huyo mchepuko wako ulikua na ujumbe mzito kiasi gani!!! Labda uscreen short SMS za huyo mchepuko uzilete huku labda tunaweza kua na pa kuamzia kukushauri
 
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza sms za mpenzi wangu zimefumaniwa na mchumba Wangu kipindi nimeacha Smu ndani nimeshindwa jinsi ya kujitetea kabisa ivi ameondoka kaenda kwao na kanitumia msg kuwa nisimzoee tena na vitu vingi tu
Sasa wana jamii nipeni mwongozo nifanyeje nmtumie msg gani aweze kunisamehe au nitumie mbinu gani mana namwitaji Sana mchumba huyu mwanamke
Kwanza niseme huyu ''mchumba'' hata kama ukimwoa utaishi nae kwa muda mfupi tu! Kwanini? Unaonekana unamng'ang'ania kwa sababu umeona ni mwanamke mwenye sifa za kuoa lakini hakutoshelezi kimapenzi (japo hujui) ungekuwa unaridhika nae na kwa huu upya alionao ingekuwa vigumu sana wanawake wengine kukuvutia.

Nasema haya kutokana na uzoefu wangu mara nyingi stage ya uchumba inakuwa ni stage ya mapenzi moto moto na wahusika wanapenda kiasi cha kutovutiwa na wapenzi wa pembeni na kama huyo dada ana akili inabidi akuache kimoja kwa sababu umeonyesha utakuja kutesa sana kwa nyumba ndogo na kama alivyokuambia mdau mmoja hata ukimwoa hili halitafutika kwenye kichwa chake na atakuwa ameshaona kumbe kuchepuka nje ya ndoa sio issue kubwa kihivyo, hivyo atakuwa anachepuka mara moja moja!
 
Ushauri wangu ni kwamba uwe mpole na mpe muda kidogo hasira zipungue ndo umfate uongee nae na ukiri makosa.

Imewahi nitokea pia tena alisoma sms za zaidi ya mwanamke mmoja na mwingine akiwa kanitumia papuchi kabisa nayo akaona.
 
Wewe humfai huyo binti mwache akatafute mwanaume wa maana atakaemfaa..
 
Kwanza niseme huyu ''mchumba'' hata kama ukimwoa utaishi nae kwa muda mfupi tu! Kwanini? Unaonekana unamng'ang'ania kwa sababu umeona ni mwanamke mwenye sifa za kuoa lakini hakutoshelezi kimapenzi (japo hujui)! Ungekuwa unaridhika nae na kwa huu upya alionao ingekuwa vigumu sana wanawake wengine kukuvutia. Nasema haya kutokana na uzoefu wangu! Mara nyingi stage ya uchumba inakuwa ni stage ya mapenzi moto moto na wahusika wanapenda kiasi cha kutovutiwa na wapenzi wa pembeni. Na kama huyo dada ana akili inabidi akuache kimoja kwa sababu umeonyesha utakuja kutesa sana kwa nyumba ndogo! Na kama alivyokuambia mdau mmoja hata ukimwoa hili halitafutika kwenye kichwa chake na atakuwa ameshaona kumbe kuchepuka nje ya ndoa sio issue kubwa kihivyo, hivyo atakuwa anachepuka mara moja moja!
Massage tu ndo iwe ivyo wadau npeni mbinu hapa mi siwezi kurudia kosa tena
 
Ushauri wangu ni kwamba uwe mpole na mpe muda kidogo hasira zipungue ndo umfate uongee nae na ukiri makosa.

Imewahi nitokea pia tena alisoma sms za zaidi ya mwanamke mmoja na mwingine akiwa kanitumia papuchi kabisa nayo akaona.
Nashukuru sana boss
 
Back
Top Bottom