Mention someone without any reason just to disturb them

Mention someone without any reason just to disturb them

Hayakutoshi kama hayo... Makofi Yale ya nanii ndiyo yanakufaa...

Alafu unanichekea nini...
๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž๐Ÿ˜Ž twende selfika ukaselfike ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ afu nitakwambia nacheka nini
 
Uko tayar baada ya outing nije nikufungulie thread huku jinsi ulivyo mroho๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†kama uko tayar jiandae.
๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’ Basi out hiyo ya masimango hapana.. Acha nicheze na madogo tu hapa, ila mnatunyanyasa sana nyie warwmbo wa humu dah.. Mwaka tutamaliza mapambano 3-0
 
Back
Top Bottom