Feliz1
New Member
- Sep 25, 2022
- 4
- 10
Niaje hapaMakofi kwangu tafadhali ๐๐๐
#retirement ๐ค๐คฃ
Niaje hapaMakofi kwangu tafadhali ๐๐๐
#retirement ๐ค๐คฃ
๐๐ Nakumiss boss memes le aunt maandazi ya mama Klareee ๐
Hayakutoshi kama hayo... Makofi Yale ya nanii ndiyo yanakufaa...Makofi kama haya ๐ค
Habari Avatar?
๐๐๐ twende selfika ukaselfike ๐คฃ๐คฃ afu nitakwambia nacheka niniHayakutoshi kama hayo... Makofi Yale ya nanii ndiyo yanakufaa...
Alafu unanichekea nini...
Salama sana, za kukusumbua?Habari Avatar?
Ndiyo wapi huko tena??๐๐๐ twende selfika ukaselfike ๐คฃ๐คฃ afu nitakwambia nacheka nini
Kuna uzii hukoo chitchat unaitwa selfika ๐คNdiyo wapi huko tena??
Unanichekea nini??
Ni njema ๐Salama sana, za kukusumbua?
I hope umesumbuka kidogo?Ni njema ๐
Okay!! Nitautembelea nitakapojisikia kufanya hivyo...Kuna uzii hukoo chitchat unaitwa selfika ๐ค
Nakuchekea mdomo
Sawa mkuu ๐Okay!! Nitautembelea nitakapojisikia kufanya hivyo...
Nichekee ila usinitolee ulimi Wala kunionesha dimples...
๐๐๐๐ Leo nina upakoNational Anthem ๐๐๐
Karibu Cha utundu...Sawa mkuu ๐
Aiseeeee mwanangu acha hizo๐๐๐๐๐๐๐ Leo nina upako
๐๐๐ Nitoe out nipo nyumbani na madogo tungaangalia tamthilia tu, nipate hata fanta orangeAiseeeee mwanangu acha hizo๐๐๐
Uko tayar baada ya outing nije nikufungulie thread huku jinsi ulivyo mroho๐๐๐kama uko tayar jiandae.๐๐๐ Nitoe out nipo nyumbani na madogo tungaangalia tamthilia tu, nipate hata fanta orange
๐๐๐ Basi out hiyo ya masimango hapana.. Acha nicheze na madogo tu hapa, ila mnatunyanyasa sana nyie warwmbo wa humu dah.. Mwaka tutamaliza mapambano 3-0Uko tayar baada ya outing nije nikufungulie thread huku jinsi ulivyo mroho๐๐๐kama uko tayar jiandae.