Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,170
🤣🤣Nakuweka kwa maombi 😂😂 maana unasikitisha sana
🤣🤣Nakuweka kwa maombi 😂😂 maana unasikitisha sana
Nina stress niache
Af nenda kamalizie dozi kwanza ndio uingie online.



😂😂😂😂🤸♂️🤸♂️🤸♂️
Asante kwa kumkumbusha maana nlikua nataka nimwambie
Nina plans na baba zao![]()




Yaani huyo anapenda mitandao kuliko dozi
Asante kwa kumkumbusha maana nlikua nataka nimwambie
Sasa kama watoto wanakula hawashibi baba zao si ndio watakua wamekauka kauuu![]()
😂😂 Tulia hapoUnanitafuta?? hunipati ng'o😀
Nitumie nauli basi😂😂 Tulia hapo
Nenda kwa wakala nitoe 😂😂😂Nitumie nauli basi
Nimecheka
Umeongeza sikuNimecheka