Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Yaani unantambia kwamba nitadangika tu, halafu hapo hapo unaniuliza kama usubirie hadi FEB..!! WANAUME TUMEUMBWA, MATESOOOO MATESOOO, KUHANGAIKAShule zimeshafunguliwa. Nilitaka kuwapitia watoto niende nao beacha basi. Wee utadangika tu, kwahiyo nisubirie hadi Feb ๐๐๐๐๐