National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
😁😁😁 Kama ni mfanya biashara na una kazi plus kibunda mnaweza ongea lugha mojaHata mimi namkubali sana huyu Darlin, sema naona ananizeesha tu kila siku
Huyu mtu wako wa nguvu waweza......![]()
😁😁😁 Kama ni mfanya biashara na una kazi plus kibunda mnaweza ongea lugha mojaHata mimi namkubali sana huyu Darlin, sema naona ananizeesha tu kila siku
Huyu mtu wako wa nguvu waweza......![]()
Mbona gafla hivo jaman😒😒😒Alafu nime kumiss kweli dada yangu 😊😊
We ukweli sana mwana wangu 😊😊Mbona gafla hivo jaman😒😒😒
Babuu ana hela za pension ngoja niende tukaongee lugha moja😁😁😁 Kama ni mfanya biashara na una kazi plus kibunda mnaweza ongea lugha moja
Haya mdada wangu nakuaminia, hatutakiwi kufa maskini 😁😁😁Babuu ana hela za pension ngoja niende tukaongee lugha moja
Mmmhh tangu lini mbona mie sijuiWe ukweli sana mwana wangu 😊😊
😆😆😆😆😆😆aiseeeeeHaya mdada wangu nakuaminia, hatutakiwi kufa maskini 😁😁😁
Ndio ujue kuanzia leo, hapa nimetoka church nime ku miss 😁😁Mmmhh tangu lini mbona mie sijui
Wewe na church wapi na wap jamanNdio ujue kuanzia leo, hapa nimetoka church nime ku miss 😁😁
Hapa nimetoka kanisani, ndio napita m.city kupata hata kahawa 😊😊Wewe na church wapi na wap jaman
Na pisi za m.city unamuachia nani
Sasa mbona huniiti jaman😒🤔Hapa nimetoka kanisani, ndio napita m.city kupata hata kahawa 😊😊
Ulisema juzi. Unakuja, alafu sijakuona popoteSasa mbona huniiti jaman😒🤔
We ndio unazingua tatizoUlisema juzi. Unakuja, alafu sijakuona popote
Sio kweli dada wangu, 😌😌😌We ndio unazingua tatizo
Haya kiongosssssSio kweli dada wangu, 😌😌😌
Poa chief! Kesho uje basi 😊😊Haya kiongosssss
Haina shida kamandaPoa chief! Kesho uje basi 😊😊
Nipo nabet tu hapa, nimuwezee wapi huyu mlimbende..nawaachia nyie vijana wenye wallet nono na nguvu za kutosha, aliniambia anataka kidume mwenye nguvu zake.Kama ni mfanya biashara na una kazi plus kibunda mnaweza ongea lugha moja
