EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,713
- 35,525
wanaume tunaimaginations hizo hasa ukivaa nguo za kutamanisha na maumbile yamejaziajaziaMmmh!
Rafiki Ethical Ninja CEH nimejikuta nacheka na hizo reaction zako. 😀
Hivi na we unawazaga hivyo pia rafiki?
Umeona sasa.Rafiki hiyo ni sawa na adhabu.... Katika vitu ambavyo siwezi moja wapo ni hilo la imaginanion.. Ukweli naishiaga tu kutazama lakini huwa siwezi kumuweka mtu kichwani... Nina imagine zaidi maisha yangu..
Rafiki hiyo ni sawa na adhabu.... Katika vitu ambavyo siwezi moja wapo ni hilo la imaginanion.. Ukweli naishiaga tu kutazama lakini huwa siwezi kumuweka mtu kichwani... Nina imagine zaidi maisha yangu..
Umeona sasa.
Mie sikukubaliana na mleta uzi na ndio sababu nikawa nasubiria watu kama nyie muje mseme rafiki kwani nilikuwa nawaza hivyo Shemeji yako alivyo na mambo mengi kichwani kiasi kile na yeye anawazaga hivyo au hii ni maalum kwa wale wasio na vitu vingi kichwani rafiki.
sema ukweli jamaa
sema nini mkuu nakuelewa, maana huwezi vujisha siri ya kambiNdio ukweli wenyewe huo... mie huwa sifanyagi imagination... ila kutazama natazama tu, nakuacha kama yalivyo.. imagination tunawaachia wenye misongo yao ya mawazo ya wanawake 😀 😀 😀