Kila ninapokula chakula au kunywa maji ya moto au baridi meno yangu huhisi ganzi (hufaganza),kitu ambacho kinanifanya nishindwe hata kula au kunywa...
Naomba msaada kwa yule anayejua dawa.
Weka maji ya uvuguvugu mdomoni dakika 8 kisha sukutua dakika 8 na uvute hewa na kutoa dakika 8. Pia sukutua kwa mouthwash(duka la dawa). Na usiku baada ya mlo upige mswaki na usile kitu baada ya kupiga mswaki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.