How can the government investigate itself? Mnacheza nyinyi. Hapa hakuna lolote zaidi ya sarakasi na mazingaombwe.
Halafu malumbano ya hawa wawili sidhani kama yanaihusu serikali. Wao waachwe wapakane kwenye vyombo vya habari na mwishowe wataacha wenyewe.
Kinachoniogopesha tu ni kwamba malumbano ya hawa watu yana divert attention kabisa kutoka mafisadi nyangumi na papa wengine kama Li Mkapa na lile Li Mbuna, Mi Chenge..Mi Mahalu na mingineyo.
Upuuzi mtupu unaoendelea hapa.