kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,839
- 17,437
Hawa watu tutawakumbuka sana mzee philemon ndesamburo pamoja na mzee reginald mengi
Hakika tumebaki kama yatima tunamiss uwepo wenu daah
Pumzikeni kwa amani
Nilichojifunza kutoka kwenu ni kujitoa kwa kila hali na mali na kujitoa kwa ajili ya wengine na pia kuzitafuta pesa kwa bidii
Jamani naomba mnambie kama mzee ndesa aliandika kitabu
Kitabu cha mzee mengi lazima nikitafute yaani bora tu uliandika kitabu...
Hakika tumebaki kama yatima tunamiss uwepo wenu daah
Pumzikeni kwa amani
Nilichojifunza kutoka kwenu ni kujitoa kwa kila hali na mali na kujitoa kwa ajili ya wengine na pia kuzitafuta pesa kwa bidii
Jamani naomba mnambie kama mzee ndesa aliandika kitabu
Kitabu cha mzee mengi lazima nikitafute yaani bora tu uliandika kitabu...