Mengi inabidi nae achunguzwe, yeye sio Nabii kama wengine kwenye hii forum wanavyo tutaka tufikiri, Allegation against him ninzito inaitaji ufafanuzi wa kina. Sirikali iwachunguze hawa mafisadi pamoja na Mengi bila kujali taifa, rangi wala kabila. Mengi anatakiwa achunguzwe