Meneja Rasilimali watu

Meneja Rasilimali watu

JimCarrey

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
227
Reaction score
142
Wadau tafadhali naomba nielekezwe mahala ofisi za Meneja Rasilimali Watu Dar Es Salaam...
Msaada tafadhali
 
Daah acheni shule ziwe bure jamani. Gharama za shule ndiyo zinatufikisha hapa. Ona sasa.
 
Dah! nimecheka sana. Nahisi hujui maana ya meneja rasilimali watu, ni human resource officer. Sasa unatak a wa kampuni gani au ofisi gani. Huna tofauti na mtu anaeulizia ofisi ya mhasibu ipo wapi, mhasibu wa wapi?
 
Wadau tafadhali naomba nielekezwe mahala ofisi za Meneja Rasilimali Watu Dar Es Salaam...
Msaada tafadhali

aiseee wew ni kilaza sana utakuwa umeliwa sasa na sijui umesoma chuo gani kinachotoa watu wa namna hii,,,unachekesha sana hahahahaha ila ungekuwa karibu yangu ningekupa kibao tuuuu
 
Dah! nimecheka sana. Nahisi hujui maana ya meneja rasilimali watu, ni human resource officer. Sasa unatak a wa kampuni gani au ofisi gani. Huna tofauti na mtu anaeulizia ofisi ya mhasibu ipo wapi, mhasibu wa wapi?

bora shule ziwe bure kwa mtindo huu
 
Dah! nimecheka sana. Nahisi hujui maana ya meneja rasilimali watu, ni human resource officer. Sasa unatak a wa kampuni gani au ofisi gani. Huna tofauti na mtu anaeulizia ofisi ya mhasibu ipo wapi, mhasibu wa wapi?

HR officer wa serikali may be...sijui anapatikana pande zipi
 
Back
Top Bottom