Meneja napatikana hapa

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,763
Reaction score
2,683
Hello wakuu.
Mimi ni kijana wa miaka 32, Mtanzania niliyelelewa na familia ya wafanyabiashara, baadaye nikasomeshwa mambo ya uhasibu kwa ajili ya kuandaa Kodi.

Hivi sasa natafuta mradi wowote niusimamie ili kutumia vyema vipaji na elimu yangu kwani miradi ya familia kwa sasa wadogo zangu wanaenda nayo vizuri nami inabidi nisake changamoto eneo lingine.

Baadhi ya Maeneo nayofanya vizuri: Kodi, Marketing, Business plan na stock taking.
Kama una fikira za kuanzisha au kuendeleza mradi, tafadhali tuwasiliane kwa namba hapa chini.
0713-039875
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…