JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,091
- 4,716
Kuna uvumi kwamba wasanii wengi hawatoboi kisa wana management mbaya.
Sasa kwa msanii mondi ambaye mameneja wake wana manage wasanii wengi kama Tale( Madee, Janjaro, Shaa) na Mkubwa Fela( Chege, mh Temba, wanaume tmk) kwa nini hao mameneja msanii diamond tu ndiyo katoboa wakati wao ndiyo mameneja kwanini wasiwameneji wengine nao watoboe.
Kwaiyo kama meneja ndiyo dawa ya msanii kutoboa mbona wengine hawatoboi na meneja wao mmoja?
Au shida siyo menejiment mbovu labda ni msanii mwenyewe tu ndo anajua kutoboa
Sasa kwa msanii mondi ambaye mameneja wake wana manage wasanii wengi kama Tale( Madee, Janjaro, Shaa) na Mkubwa Fela( Chege, mh Temba, wanaume tmk) kwa nini hao mameneja msanii diamond tu ndiyo katoboa wakati wao ndiyo mameneja kwanini wasiwameneji wengine nao watoboe.
Kwaiyo kama meneja ndiyo dawa ya msanii kutoboa mbona wengine hawatoboi na meneja wao mmoja?
Au shida siyo menejiment mbovu labda ni msanii mwenyewe tu ndo anajua kutoboa