Membe VS Bashe, filimbi yapulizwa ndani ya CCM

Membe VS Bashe, filimbi yapulizwa ndani ya CCM

Tunataka mtu atakaekuza haka kakitu kanaitwa 'salary' tupate maisha bora tumechoka na malumbano ya wanasiasaView attachment 78742

Nimeipenda hii katuni, mchoro wa ukweli huu, cheki swaga za bread hapo juu! Utamtakaje?

Maoni yangu :
Huyo mlalamikaji hakutakiwa kumtaja salary kwa aababu tayari amesha mlebo. Pia wajifunze lugha maana hicho kilichoandikwa hapo ni kiswahili cha kizungu sio kizungu, i mean ni kiswahili kilichoandikwa kwa kiingereza.

Asanteni kwa kunisikiliza.
 
Mwizi wa mabenki yetu anapambana na Mwizi wa wanyamapori wetu. Angalau tutapumua kipindi hiki cha mapambano yao
 
Back
Top Bottom