and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 27,921
- 39,114
kiukweli huyu mhe. ni jembe haswa kwa hoja zake mahsusi, uzoefu wake wa kimataifa na kitaifa pia ni mtu muadilifu na mshika dini, pia ni baba wa familia safi. Umri unamruhusu (tofauti na wagombea wengine) zaidi huyu ndie atakayetuvusha kama Taifa. Hana kashfa za rushwa zinazoonekana. Hongera sana Mhe. Membe umetupa heshima kubwa na adimu wana LINDI na kusini kwa ujumla