Membe kwanini unamuhofia Lowassa kiasi hiki?

Membe kwanini unamuhofia Lowassa kiasi hiki?

OgwaluMapesa

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2008
Posts
10,942
Reaction score
437
Wadau!
Kwanini mh Bernard Membe anamuhofia lowassa kiasi hiki?nimekuwa nikijiuliza bila majibu,Membe amekuwa akifanya kila awezalo kuhakikisha anamchafuwa lowasa kwa njia yoyote ile,iwe halali au haramu lakini kila anapojaribu mission yake inafeli.
Sasa nimuulize tu mh Membe kama anajiamini na nimwanaume wa shoka kwanini asisubiri muda ufike waingie uwanjani kupimana nguvu?si anategemea familia ya rais itambeba kwanini angaike?
Kupigiwa debe
na familia ya
jk si anaona ni uhakika wa kuingia ukulu.atulie asubiri muda akapimane na lowassa tuone nani mshindi.
 
Anatambua nguvu za kisiada za lowassa jinsi anavyokubarika ndani ya ccm lakini zaidi nje ya ccm kwa watanzania wote,anaamini kutumia njia chafu kwa kuwalipa vijana fedha kushinda kwenye mitandao hili kumchafua Lowassa kumpa shutuma za uongo siku ukweli unabaki pale pale Lowassa uchapkazi wake na mwenye kusimamia jambo bila uoga wa ubabaishaji.
 
Anatambua nguvu za kisiada za lowassa jinsi anavyokubarika ndani ya ccm lakini zaidi nje ya ccm kwa watanzania wote,anaamini kutumia njia chafu kwa kuwalipa vijana fedha kushinda kwenye mitandao hili kumchafua Lowassa kumpa shutuma za uongo siku ukweli unabaki pale pale Lowassa uchapkazi wake na mwenye kusimamia jambo bila uoga wa ubabaishaji.

Membe anamuhofia Lowassa kwa sababu Lowassa ana Mungu na pia anao watu. Na sauti ya waja wa Mungu alionao Lowassa ni sauti ya Mungu.
 
Naona kabsa ile sinema ya mwaka 95 itajirudia mwakani, hakuna mamvi wala membe
 
Mnapoteza muda 2015 nchi lazima iende kwa wapinzani. Mungu ambae hapokei rushwa atatusimamia katika hili AMEN
 
Mnapoteza muda 2015 nchi lazima iende kwa wapinzani. Mungu ambae hapokei rushwa atatusimamia katika hili AMEN

Uwezekano katika hilo pengine ni ndoto kwa miaka ya karibuni. Kuhusu Membe ni kweli anamhofia sana Lowasa. Hata hivyo katika nyanja zote sio size ya Lowasa. Amewaweka mamluki wengi jf na kwenye vyombo vya habari kumpigia debe na kumchafua Laigwanani lakini wanaelea tu hawamwezi. Msijidanganye nyumba kubwa bado wapo upande wa Membe. Walishahamia kwa Pinda na wao ndo waliomshawishi kutangaza nia wakielewa atawalinda wao na mali zao watakapoachia madaraka. Kwa hili watahakikisha wanamweka madarakani kwa gharama yoyote.Na ndivyo itakavyokua na Watanzania kupata tena hasara ya uongozi wa juu kwani Pinda mbali ya kuwa hawezi kufanya maamuzi magumu pia hana maono. Sidhani hata mawaziri atakaowachagua watamtii. Nchi kwa sasa inamtaka kiongozi mwenye maamuzi na uthubutu kama Lowasa na sio yeyote ndani ya ccm.
 
Uwezekano katika hilo pengine ni ndoto kwa miaka ya karibuni. Kuhusu Membe ni kweli anamhofia sana Lowasa. Hata hivyo katika nyanja zote sio size ya Lowasa. Amewaweka mamluki wengi jf na kwenye vyombo vya habari kumpigia debe na kumchafua Laigwanani lakini wanaelea tu hawamwezi. Msijidanganye nyumba kubwa bado wapo upande wa Membe. Walishahamia kwa Pinda na wao ndo waliomshawishi kutangaza nia wakielewa atawalinda wao na mali zao watakapoachia madaraka. Kwa hili watahakikisha wanamweka madarakani kwa gharama yoyote.Na ndivyo itakavyokua na Watanzania kupata tena hasara ya uongozi wa juu kwani Pinda mbali ya kuwa hawezi kufanya maamuzi magumu pia hana maono. Sidhani hata mawaziri atakaowachagua watamtii. Nchi kwa sasa inamtaka kiongozi mwenye maamuzi na uthubutu kama Lowasa na sio yeyote ndani ya ccm.

Kula likeeeewe za kutosha
 
Wadau!
Kwanini mh Bernard Membe anamuhofia lowassa kiasi hiki?nimekuwa nikijiuliza bila majibu,Membe amekuwa akifanya kila awezalo kuhakikisha anamchafuwa lowasa kwa njia yoyote ile,iwe halali au haramu lakini kila anapojaribu mission yake inafeli.
Sasa nimuulize tu mh Membe kama anajiamini na nimwanaume wa shoka kwanini asisubiri muda ufike waingie uwanjani kupimana nguvu?si anategemea familia ya rais itambeba kwanini angaike?
Kupigiwa debe
na familia ya
jk si anaona ni uhakika wa kuingia ukulu.atulie asubiri muda akapimane na lowassa tuone nani mshindi.
Toa mfano mmoja wa Membe kumchafua Lowassa ili niamini kwamba huleti maneno ya kuokoteza barabarani!
 
Hivi kwanini huwa membe hamuulizi mjomba wake jk moto wa lowassa manake jomba anaujuwa haswa
Membe anataman visivyowezekana kwake,watz wanataka kuona mabadiliko hawataki kusikia kuwa kutafanyika mabadiliko...kwa ufupi hana cha kutuconvince..jaman achen kuipambanisha taifa stars na Man city hayo nimatusi kwa Mh.Membe
 
Anatambua nguvu za kisiada za lowassa jinsi anavyokubarika ndani ya ccm lakini zaidi nje ya ccm kwa watanzania wote,anaamini kutumia njia chafu kwa kuwalipa vijana fedha kushinda kwenye mitandao hili kumchafua Lowassa kumpa shutuma za uongo siku ukweli unabaki pale pale Lowassa uchapkazi wake na mwenye kusimamia jambo bila uoga wa ubabaishaji.

aendelee kujidanganya na kujipa moyo kwa kumchafua mwenzie mtandaoni kana kwamba hajui wanaotumia mitandao ni wachache mno na mbaya zaidi wanayoyaona humu mtandaoni huyaacha humu humu.

mwenzie anaingia kila eneo la mtandao na mtaani ndio mana membe anakua na hofu kiasi hicho kwa kua anaamini kabisa EL kwa uwezo wake huo anakubarika na pia amezidi kujizolea umaarufu kutoka kila kada ya jamii.
 
Wadau!
Kwanini mh Bernard Membe anamuhofia lowassa kiasi hiki?nimekuwa nikijiuliza bila majibu,Membe amekuwa akifanya kila awezalo kuhakikisha anamchafuwa lowasa kwa njia yoyote ile,iwe halali au haramu lakini kila anapojaribu mission yake inafeli.
Sasa nimuulize tu mh Membe kama anajiamini na nimwanaume wa shoka kwanini asisubiri muda ufike waingie uwanjani kupimana nguvu?si anategemea familia ya rais itambeba kwanini angaike?
Kupigiwa debe
na familia ya
jk si anaona ni uhakika wa kuingia ukulu.atulie asubiri muda akapimane na lowassa tuone nani mshindi.

Membe kuna kiwanda cha cement alikuwa anajenga lindi alishaanza na kuchimba kuweka foundation inakadiriwa alishatumia kama bil 2 hivi sasa inasemekana ilikuwa achukue mkopo crdb bank ila bwana mamvi kule ni mdau kazuia kwahiyo ujenz unesimama takribani miez 6 hivi
 
Ukooo wa Mafisadi hauachi kumpamba Lowasa

lizaboni aka chabruma leo unakuja na uzushi gani wa lowassa nasikia umegoma kupost habar ya kumchafuwa lowassa humu ndani hadi ushikishwe kilicho chako kwanza
 
kamchafuaje Maku...wewe?? shortly, wote hawafai, raisi bado jamani mbona mnamapepe nya.u?? nzishe zako wewe mtoa mada...
 
kamchafuaje Maku...wewe?? shortly, wote hawafai, raisi bado jamani mbona mnamapepe nya.u?? nzishe zako wewe mtoa mada...

Nyie ndio mods anawasaka,watu kama nyie msiokuwa na nidhamu hata chembe.uhuni wako na matusi ni huko huko.na jinsi ulivyo na ndio wazazi wako walivyo hivyo hivyo
 
Uwezekano katika hilo pengine ni ndoto kwa miaka ya karibuni. Kuhusu Membe ni kweli anamhofia sana Lowasa. Hata hivyo katika nyanja zote sio size ya Lowasa. Amewaweka mamluki wengi jf na kwenye vyombo vya habari kumpigia debe na kumchafua Laigwanani lakini wanaelea tu hawamwezi. Msijidanganye nyumba kubwa bado wapo upande wa Membe. Walishahamia kwa Pinda na wao ndo waliomshawishi kutangaza nia wakielewa atawalinda wao na mali zao watakapoachia madaraka. Kwa hili watahakikisha wanamweka madarakani kwa gharama yoyote.Na ndivyo itakavyokua na Watanzania kupata tena hasara ya uongozi wa juu kwani Pinda mbali ya kuwa hawezi kufanya maamuzi magumu pia hana maono. Sidhani hata mawaziri atakaowachagua watamtii. Nchi kwa sasa inamtaka kiongozi mwenye maamuzi na uthubutu kama Lowasa na sio yeyote ndani ya ccm.

Nasikia humu ndani kawaweka mpaka ndugu zake kwaajili ya kumpigia debe kuingia ikulu,duh kweli madaraka matamu.
 
Nasikia humu ndani kawaweka mpaka ndugu zake kwaajili ya kumpigia debe kuingia ikulu,duh kweli madaraka matamu.

Mkuu kwahyo mama dorcas membe anayo id za kutosha humu ndani?bas kama ni hivyo invisible anampiga chabo tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom