Membe kwanini unamuhofia Lowassa kiasi hiki?

Membe kwanini unamuhofia Lowassa kiasi hiki?

Kiuhalisia, watu wengi wamekuwa wanamkubali Lowassa kutokana na Nchi ilipofikishwa sasa, na kwamba ili basi tuweze ku-move toka hapana twende mbele tulipo tunahitaji kweli kiongozi ambae ni IMARA na MADHUBUTI. Nilikuwa nasoma mahojiano ya Tibaigana former Dar RPC na gazeti la Mwananchi, anakwambia TZ ya sasa tunahitaji Rais dikteta kidogo ingawa katika ufafanuzi wake akasema hamaanishi dikteta kwa maana ya dikteta bali Rais ambae ni mkali kidogo ili tuweze kutoka hapa tulipo.
Sasa ukitazama wote wanaojitangaza na wanaotajwa-tajwa hakuna ambae anamfikia Lowassa hata kwa ukaribu. Lowassa sio mtu wa kuyumbishwa katika jambo lolote lile, pia ni mtu ambae ni mwepesi kwenye kuchukua maamuzi. Watz tumefikishwa hapa kutokana na mambo mengine kukosa tu kuchukua uamuzi wa mara moja, Lowassa sio mwoga na Lowassa ni mfuatiliaji wa jambo lolote lile analoliagiza au kulitolea uamuzi.
Tuwe wakweli, katika wote waliojitangaza mtu pekee ambae angeweza kuubadili upepo ni Magufuli ambae kwake Urais hana habari nao. Lakini kwa hawa ambao tumewasikia hakuna kama kama Lowassa na ndio maana basi kila team za wagombea wengine wanatapatapa.
 
Ukooo wa Mafisadi hauachi kumpamba Lowasa

Ukoo upi?wewe mwenyewe ni fisadi hapo ulipo Maana mnaziponda Pesa za marehemu Gadafi kwa kugawana kienyeji enyeji , sasa Lizaboni umekuwa KUPE wa Membe kila analotafuna anakupa unameza , yaani Umeshikwa Akili mpaka umejisahau Kuwa wewe Lizaboni ni Fisadi number one, Kweli NYANI haoni kundule ! Ufisadi wa Boss wako Membe na watu wake akina Sita nk haujauona ? Umeamua kujitoa Fahamu sio? Umekariri kumwandama Lowasa pekee wengine umewaona ni Malaika sio ? Acha hizo Lizaboni huo ushabiki wako kwa Membe sasa unatia kinyaa ! Hapa Tanzania Hakuna aliye msafi kiasi cha kumnyoshea mwenzake kidole.
 
Lizaboni kaamua kujitoa Fahamu kakariri yote aliyodanganywa na Membe kabaki kung'ang'ania neno Ufisadi kila mda ni ufisadi , amegoma kuutambua Ufisadi wa Boss wake Membe na Ufisadi wa wale wote waliotangaza nia ya Kuelekea ikulu, hataki kuamini Kuwa Hakuna kiongozi asiye na kasoro wala mapungufu ,Pia inaelekea Lizaboni hajui Kuwa Hakuna aliye msafi kiasi cha kumnyoshea mwenzake Kidole, wewe Lizaboni Kama huna kazi ya kufanya nenda kumshauri Boss wako Membe Kuwa watu wameshawagundua mbinu yenu na hiyo mbinu ya kuchafuana inamshusha Chati Membe badala yake imempandisha chati Lowasa, yaani Nyie wote mnamfanyia Promo Lowasa pasipo kujijua,watanzania wa sasa si wajinga wameshajua Kuwa Lizaboni umefisadi Pesa ya Gadafi sasa unaitumia kushinda kwenye mitandao kumwandama Lowasa. Mwambieni Boss wenu membe aende kule kijijini kwao akawasaidie wale ndugu zake wenye dhiki, Pia ajenge Hospital ,barabara aboreshe huduma kule jimboni kwake mapema kabla wa-Libya hawajaja kumdai pesa zao na kumpeleka mahakama ya kimataifa, ni mda sasa wa kupeleka maendeleo kwao badala ya kukaa na kumwandama lowasa kwa masaa 24 kila siku .
 
Wadau!
Kwanini mh Bernard Membe anamuhofia lowassa kiasi hiki?nimekuwa nikijiuliza bila majibu,Membe amekuwa akifanya kila awezalo kuhakikisha anamchafuwa lowasa kwa njia yoyote ile,iwe halali au haramu lakini kila anapojaribu mission yake inafeli.
Sasa nimuulize tu mh Membe kama anajiamini na nimwanaume wa shoka kwanini asisubiri muda ufike waingie uwanjani kupimana nguvu?si anategemea familia ya rais itambeba kwanini angaike?
Kupigiwa debe
na familia ya
jk si anaona ni uhakika wa kuingia ukulu.atulie asubiri muda akapimane na lowassa tuone nani mshindi.

Ndugu zake membe kule kijijini kwao wana njaa saana, wanamshangaa Membe kufisadi pesa za Gadafi na Kupe wake akina Chabruma a.k.a Lizaboni peke Yao na kuwasahau kabsa hadi wanakufa kwa dhiki, laana Yao ndio imemfanya membe akose Mvuto mbele ya watanzania na sasa huyo Chabruma ndio amemharibia kabsa chati zinazidi kushuka , Membe nenda kijijini Kwenu kawagawie pesa hizo kabla majanga ya Wa-Libya hayajabisha hodi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom