johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,947
- 141,924
Zitto Kabwe pamoja na kumtosa mgombea wa chama chake na kuhamia kwa mgombea wa Chadema lakini Tundu Lissu bado aliambulia 13% tu ya kura zote.
Magufuli ambaye alifanya kampeni kwenye mikoa isiyozidi 6 alipata 84%.
Membe alifanya kampeni kwa siku moja tu alipata.1% ya kura zote.
Tundu Lissu alifanya kampeni nchi nzima.
Mungu ni mwema wakati wote.
Magufuli ambaye alifanya kampeni kwenye mikoa isiyozidi 6 alipata 84%.
Membe alifanya kampeni kwa siku moja tu alipata.1% ya kura zote.
Tundu Lissu alifanya kampeni nchi nzima.
Mungu ni mwema wakati wote.