Kwa wanaojua historia ya ccm watajua anayeongea sio Membe ni kundi la watu wakubwa ndani ya ccm kama yeye alivyo mkubwa hawezi tumwa na wadogo. Anayoyajua membe magufuli hayajui yako mengi nyuma ya pazia sasa kama yako mengi nyuma ya pasia ayajuayo membe bila magufuli kujua nini maana yake? hapo ndo tuna conclude uasi mkubwa umepangwa na wana ccm kwa serikali ya magufuli. Shame on you ccm. CCM ni chama kisichopenda kabisa maendeleo ya Tanzania yaani wanatamani wananchi wote wangekuwa mazezeta ili wawaongoze bila kupata criticism. Sasa bahati tumepata Magufuli angalau kidogo yuko tofauti tayari washaanza kumfanyia hujuma hata miezi 4 haijafika