Meli iliyokuwa inatoka Mwanza kwenda Ukerewe imekkwama kwenye tope Ziwa Victoria.
Meli hiyo inasadikiwa kuwa na watu zaidi ya 250
Hakuna juhudi zozote zinazochukuliwa na wahusika kuokoa maisha ya watu hao.
Meli iliyokuwa inatoka Mwanza kwenda Ukerewe imekkwama kwenye tope Ziwa Victoria.
Meli hiyo inasadikiwa kuwa na watu zaidi ya 250
Hakuna juhudi zozote zinazochukuliwa na wahusika kuokoa maisha ya watu hao.
Ni uzembe tu wa watendaji wetuI am just wondering, kama kweli taarifa hazijavifikia vyombo husika au ndo yaleyale ya siku zote ambapo watu wanajikausha hadi yatokee madhara makubwa. Eee Mungu warehemu watu wako.