Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,360
Meli ya mizigo iliyoandikishwa nchini Panama mali ya kampuni ya meli ya Meditereanean iitwayo MSC CHITRA imezama na makontena 300 ya mizigo karibu na na bandari ya Jawahar Lal Nehru katika jiji la Mumbai huko India baada ya kugongana na meli nyingine ya mizigo iliyosajiliwa visiwa vya St. Kitts ijulikanayo kama MV Khalija II.
Hakuna mabaharia waliokufa katika ajali hiyo kwani walifanikiwa kuokolewa.
Associated Press:
Hakuna mabaharia waliokufa katika ajali hiyo kwani walifanikiwa kuokolewa.
Associated Press: