Meli ya Iran yadakwa na Marekani

Meli ya Iran yadakwa na Marekani

nishangae nini wakati hizo inchi ndio soko la urusi hizo inchi zinabid zipate pesa nyingi ili ziagize bidhaa kwa wing kutoka urusi kama vile venezuela kilakitu inanunua kutoka urusi

Ha ha ha ha ha
Kwi kwi kwi, wamejionea ni ujinga kuendelea kujihusisha na maskini,hamna cha maana wanachoambulia zaidi ya kuwa maskini zaidi.Siku zote unakaa karibu na waridi ili unukie.Maskini kwa maskini nani atamsaidia mwenzie
 
Kwi kwi kwi, wamejionea ni ujinga kuendelea kujihusisha na maskini,hamna cha maana wanachoambulia zaidi ya kuwa maskini zaidi.Siku zote unakaa karibu na waridi ili unukie.Maskini kwa maskini nani atamsaidia mwenzie
nani maskini kwanza? Unajua maduro alitaka kutolewa na usa mwaka 2017 but sababu ya mrusi paka leo jamaa bado anadunda na wamarekani wamesha mpigia magoti na venezuela imesema itauza mafuta kwa rubaaaaaa
 
nani maskini kwanza? Unajua maduro alitaka kutolewa na usa mwaka 2017 but sababu ya mrusi paka leo jamaa bado anadunda na wamarekani wamesha mpigia magoti na venezuela imesema itauza mafuta kwa rubaaaaaa
Tatizo lako ni hapo tu kwenye kuweka chumvi nyingi
 
Mtakacho fanya mtafanyiwa mara 2


80% of European oil is supplied from the Middle East and those oils must cross the Strait of Hormuz. The Strait of Hormuz is according to our territorial water laws. If the infiltrators do not go to Europe from here, will your friend America be able to supply European oil?
Iran ajaribu kuziba hiyo njia safari hii ndio atajua tomahawk missile zina utamu gani.
 
Back
Top Bottom