mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 843
- 1,365
Magufuli yupo sahihi , mishahara inatosha mimi kwa mfano naunywea pombe na hauishi. Bia 1500 moja
Mpaka miradi yote nchini iishe!Kwani Kuna dalili za yeye kustaafu,
Ndo hiyo!Mkuu 2020 kwanza watauana wenyewe kwa wenyewe naamini vita upande wa upinzani haitakuwa nzito kama kwao Lumumba maana kuna vichwa vitapunyuliwa halafu ndipo utakapoona watoto wa mjini wakipimana ubavu.C unamuona malaika anavyohaha kupandikiza Wapush kila idara ili mradi tu kutaka ku secure ile siti ila amini watoto wa kihuni km mzee wa msoga wanaangalia tu but akili hao inafanya kazi 10 times ya tunavyoona.Picha kali sana hili na 2020 ndo usipime ROMEO MUST DIE.
Hivi KUKOSOA huwa mnamaanisha nini?? Humu mitandaoni mko bize kukosoa, Zitto yuko bize kukosoa kila kukicha.Habari....
Back in time kipindi cha upigaji.
-Mishahara iliongezwa.
- Wanafunzia walikopeshwa.
-Miradi ilitekelezwa.
-Tulikuwa tuna uhuru wa kukosoa.
-Bei za bidhaa zilipanda kwa mpangilio
-Deni la taifa lilikuwa dogo.
- Hatukuwahi kupoteza 1.5trillion
-Hatukuishi kwa matumaini.
2020 upinzani tumieni vijana vizuri
mr mkiki.
unJua kodi inayokatwa kwenye mshahara wa kawaida wa mtuishi?? wanaita PEWaache kazi kama pesa haitoshi, wajinga Sana watumishi hivi anajua wakulima na wafanyabiashara wanaoendesha nchi hii wanahali gani
Kampuni za madini ndizo zilizokuwa zinachangia Sana PAYe, sio mamluki wa serikali, Leo amewapa dawa yenu Iringa wengi ni wavivu wapiga StoryunJua kodi inayokatwa kwenye mshahara wa kawaida wa mtuishi?? wanaita PE
unafanya kazi wapi. nsije nkawa naongea na mpiga kiwiKampuni za madini ndizo zilizokuwa zinachangia Sana PAYe, sio mamluki wa serikali, Leo amewapa dawa yenu Iringa wengi ni wavivu wapiga Story
of course.Hili neno mjumbe wa "mungu" nimelielewa!
Ujinga ujinga tu,ondoeni CCM ninyi watanzania hata kw kumwaga damu.Ndo chanzo cha hayo yote.Tukileta mandege mengi tutapata mahera tutapandisha mamishahara...Sitawaangusha maana nitapandisha kwerikweri...Subirini mandege yajae angani kwanza! Kupanga ni kuchagua.