Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,163
- 6,172
Nikiwa Rais katika mambo ambayo ntafanya ni kutengeneza miundombinu ambayo itarahisisha mega-events kufanyikia Tanzania
Mfano wa hizo mega-events ni kama
Faid za mega-events kwa nchi ya Tanzania
www.jamiiforums.com
Mfano wa hizo mega-events ni kama
- FIFA WORLD CUP- Maboresho makubwa sana yatafanyika kwenye viwanja vya kisasa na vile vya mazoezi
- OLYMPIC-Huku miaka ya mbeleni tutahost haya mashindano
- DIAMOND LEAGUE- haya yatakuwa yanafanyika kila mwaka
- KILIMANJARO MARATHON- hii ntaifanya kuwa world-class kwa kuboresha miundombinu ya mji wa moshi yanakofanyikia na kuwa mji wa kisasa
- FORMULA ONE
- WORLD FAIRS (EXPRO)
- MULTIPURPOSE ARENA ZA KISASA-hii itavutia mikutano mingi ya kimataifa kufanyikia hapa Tanzania
- HOTEL-Kama nchi tutahakikisha tunakuwa na hotel za kuweza kubeba watu million 30 kwa mara moja hii inawezekana kukiwa na mipango ya mda mfupi na mirefu
- KUIFANYA LIGI YETU YA MPIRA NA KUWA WORLD-CLASS
Faid za mega-events kwa nchi ya Tanzania
- Kuongeza wigo wa mapato
- Kuongeza ajira
- Kuitangaza nchi
Tanzania Project 2035
TANZANIA PROJECT 2035 VISION Tanzania kuwa nchi yenye uchumi mkubwa Afrika kufikia mwaka 2070's in term of GDP na PPP Tanzania kuwa nchi yenye uchumi mkubwa duniani kufikia mwaka 2100's in term of GDP na PPP MISSION Nilitangaza nia ya kuwa Rais wa Tanzania 29/6/2024 kwa mara ya kwanza, kwa...