Msherwa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 1,335
- 1,225
Yakiwa yamebaki masaa machache kuzaliwa Bwana Na Mwokozi wetu. Vyema kutakiana heri katika sikukuu hii tukufu na adhimu. Kwa upande wangu, nawawish hawa MERRY CHRISTMAS chief-mkwawa C6 njunwa wamavoko @c Ritz MziziMkavu FaizaFoxy white girl Lady doctor farkhina King'asti Smile Preta Moderator Invisible mello CCM mtoto Nyani Ngabu watu8... Nani nimemsahau? Hebu nawe wawish wawili watatu ili kuipendezesha sikukuu yetu!!
Last edited by a moderator: