Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 951
- 412
Wakuu habari.. naomba msaada wa hatua za kufuata ili nipate taarifa ya mgonjwa wangu pale muhimbili hospitali. Kiufupi nielekezwe kiujumla
#AHSANTENI SANAA
#AHSANTENI SANAA
Ninachojua Taarifa za afya ni Siri baina ya mgonjwa na mtoa huduma, zinaweza kutolewa kwa mtu mwingine kukiwa na sababu maalumu...kama nakosea nipo tayari kurekebishwaWakuu habari.. naomba msaada wa hatua za kufuata ili nipate taarifa ya mgonjwa wangu pale muhimbili hospitali. Kiufupi nielekezwe kiujumla
#AHSANTENI SANAA
Yes it's confidential, inaweza kutolewa kwa third party kwa idhini ya mgonjwa au pale inapolazimu kwa ajili ya maslahi mapana ya mgonjwa hata kama mgonjwa hajaridhia.Ninachojua Taarifa za afya ni Siri baina ya mgonjwa na mtoa huduma, zinaweza kutolewa kwa mtu mwingine kukiwa na sababu maalumu...kama nakosea nipo tayari kurekebishwa
Ni maslahi ya taasisi na mgonjwa karidhiaYes it's confidential, inaweza kutolewa kwa third party kwa idhini ya mgonjwa au pale inapolazimu kwa ajili ya maslahi mapana ya mgonjwa hata kama mgonjwa hajaridhia.
So it depends na situation jinsi ilivyo.
Taasisi?? Wanataka kujua kuwa mgonjwa alikuwa anaumwa au wanataka kufahamu exactly mgonjwa alikuwa anaugua nini?Ni maslahi ya taasisi na mgonjwa karidhia