johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,025
Media mbalimbali za kimataifa zipo mjini Moshi kuripoti Kongamano la BAWACHA ambalo mgeni rasmi atakuwa mh Rais Samia
Miongoni mwa media Hizo ni RT, DW, BBC, Sky news, Citizen tv nk
Kongamano hili linavutia kwa sababu Chadema ni chama pekee Kikuu cha Upinzani Duniani ambacho Uwakilishi wake Bungeni ni wa Wanawake watupu
Lakini ni chama ambacho nafasi zote za juu za uongozi ndani ya chama zimekaliwa na Wanaume
Karibuni Moshi mjini
Miongoni mwa media Hizo ni RT, DW, BBC, Sky news, Citizen tv nk
Kongamano hili linavutia kwa sababu Chadema ni chama pekee Kikuu cha Upinzani Duniani ambacho Uwakilishi wake Bungeni ni wa Wanawake watupu
Lakini ni chama ambacho nafasi zote za juu za uongozi ndani ya chama zimekaliwa na Wanaume
Karibuni Moshi mjini