Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
pasipo siasa bora ni vigumu kuwa na uchumi imara, pia pasipo uchumi imara ni vigumu kuwa na siasa bora. Kwa madhumuni ya kuleta maendeleo nchini mwetu kuna haja ya haya mambo mawili (siasa na uchumi) kuangaliwa kwa ufasaha! thats why napenda kutazama kile kipindi cha medani za siasa na uchumi cha star tv. Je mwadhani haya mambo mawili (siasa na uchumi) ni muhimu kutazamwa/kuzungumzwa? Je na wewe pia unaamin kwamba haya mambo ni mhm kwa maendeleo ya taifa letu?