POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,402
Wakuu,
kuna matangazo mbalimbali yanaendelea hapa nchini kuwa kutakuwa na mechi ya mpira wa miguu uwanja wa taifa DSM, JMosi kati ya waheshimiwa wabunge wapenzi wa YANGA dhidi ya wazao wapenzi wa SIMBA, hivyo itakuwa ni SIMBA vs YANGA.
wana JF:
Je ni sahihi kwa (wanasiasa)wawakilishi wetu kushiriki mchezo huo aliakuwa nchi inakabiliwa na mgomo wa madaktari? I mean watu wanapoteza maisha, wanateseka na ni miungoni mwa watu waliowachagua wakawawakilishe?
nimeweka uzi huu jukwaa la siasa, wanashiriki wanasiasa wetu, mbaya zaidi ni wote hata wa upinzani.
Tafakari.
kuna matangazo mbalimbali yanaendelea hapa nchini kuwa kutakuwa na mechi ya mpira wa miguu uwanja wa taifa DSM, JMosi kati ya waheshimiwa wabunge wapenzi wa YANGA dhidi ya wazao wapenzi wa SIMBA, hivyo itakuwa ni SIMBA vs YANGA.
wana JF:
Je ni sahihi kwa (wanasiasa)wawakilishi wetu kushiriki mchezo huo aliakuwa nchi inakabiliwa na mgomo wa madaktari? I mean watu wanapoteza maisha, wanateseka na ni miungoni mwa watu waliowachagua wakawawakilishe?
nimeweka uzi huu jukwaa la siasa, wanashiriki wanasiasa wetu, mbaya zaidi ni wote hata wa upinzani.
Tafakari.