Nimewapa tusi moja la maanaHabari.
Naona TFF wameanza kupata funzo muda si mrefu wametangaza kuhahirisha mechi.
Na kwa muda huu wanaomba waandishi wa habari kuwasogezea vipaza sauti kwa mahojiano zaidi.
Kwa maelezo zaidi tusubiri ufafanuzi ila hadi sasa wametoa tamko kuwa hakutokuwa na mechi ya Simba Sc na Young Africans siku ya leo hadi itakapo tangazwa tena.
Nawasilisha Mzee Mkoloni
Cc: Kichwa Kichafu
Saa mbovu=kichwa kibovMbona YANGA Vs AZAM hawakugoma leo iweje. Na siyo hiyo match tu.
Ni kweli kabisa mkuu 😂😂😂. Mama Samia nitamshusha sana vyeo asipoyaondoa haya mataahira mawili - Bashungwa na Abbas.Mwangalie hata usoni Bashungwa,kama ni taahira fulani,mzembe mzembe sana alivyo
Ata vifurush vya Azam tv tumenunua Leo buku 9 ili tuone mpira afu wanahairisha sa cjuh itakuwaje.?Wiki nzima tunalishana matango pori ya mechi ya watani wa jadi halafu leo siku ya mechi mnaleta ujinga mtupu, viingilio vya watu sijui watavurudishaje.
Tuache masihara... leo umedhihirisha ni Mwanamichezo na sio Mwana-Manyau FC!! Yaani hawa wapumbavu wangejua walikonikurupua, lakini nafika njiani naambiwa mechi imeahirishwa!!!Waziri bado yupo kazini?Viingilio nani anarudisha?
Mkuu ata hiyo walitakiwa kugoma coz kanuni na sheria znasemaje? Tusiongozwe na mihemuko mkuu tufate sheria...!!Mbona YANGA Vs AZAM hawakugoma leo iweje. Na siyo hiyo match tu.
Yanga safi sana kwa msimamo wenu
Yanga nawasifu sana sana kwa maamuzi yenu. Mm simba damu lakini sio kwa upumbavu huo wa TFFBasi bhana.. mechi yenyewe ungeishia SULUHU TASA.
Nawapongeza sanaashabikiTFF na bodi ya Ligi wote wajiuzulu. Huo uliofanyika ni upuuzi sana..
Mimi ni Simba damu, ila ubakaji uliofanyika ni ushenzi usiovumilika.
Nikweli. But Yanga nao walitakiwa kugoma match na Azam au na BiasharaMkuu ata hiyo walitakiwa kugoma coz kanuni na sheria znasemaje? Tusiongozwe na mihemuko mkuu tufate sheria...!!
Mambo ya ajabu sana haya,mimi ni Simba ila Mamlaka zimechemka sana leo...serious shughuli ya pale kwa mzee Ruksa ilete taharuki hii!!?Ni kweli kabisa mkuu 😂😂😂. Mama Samia nitamshusha sana vyeo asipoyaondoa haya mataahira mawili - Bashungwa na Abbas.
Binafsi ni Simba ilipaswa Simba wasimame na Yanga kuwa kitu kimoja. Huwezi kuahirisha mechi kizembe namna ile sababu ya tukio la uzinduzi wa kitabu.
Na kuna yule shabiki wa kigoma alokimbia almost mwez mzima kuangalia mech ya simba na yanga sijuh itakuwaje ataishi vp dar ...bongo Kuna vituko...!!Yanga imejali maslahi yake bila kujali maslahi ya washabiki
Watu wamesafiri kutoka mikoani, wametumia gharama, wamepoteza muda wao zaidi ya saa 12
Ila wao hayo masaa 2 wameona la maana Sana zaidi ya hisia za washabiki wao
Wao wanahisi huo msimamo wao utawasaidia Nini? wametutia simanzi kwa kweli
Jibu swali siyo kumtusiSaa mbovu=kichwa kibov
Kisingizio cha nini wakati wameingiza timu uwanjani?!Yanga wamepata kisingizio!
Mbona wenzao hawana noma?!
Mechi ya Yanga na Azam mabadiliko ya muda yalifuata kanuni zinazoongoza mpira, Ila hii ya Leo hapana haikubaliki popote.Mbona YANGA Vs AZAM hawakugoma leo iweje. Na siyo hiyo match tu.