Inachezwa saa ngp mkuu?Mtifuano huu wa Leo lazima mbabe ajulikane leo.
Je coast ataendeleza record yake ya ushindi kama mzunguko wa kwanza ulivyokuwa au
Biashara nae atalipa kisasi
Nahakika itakuwa ni mechi nzuri sana tungoje dakika tisini.
Wanasubiri kurutubishwa tuBiashara wako on sasa hivi
Pamoja mbeleko yote hiyo wakifungwa wanaenda kusoma albadriCha kushangaza biashara kacheza ijumaa, leo anacheza tena halafu anakuja jumamosi Dar kucheza na yanga wakati yanga kacheza jumamosi amepumzika hadi jumamosi lakini wakifanya vibaya wanaitisha mikutano na waandishi wa habari wanasema bodi ya ligi na Tff wanawahujumu
Bet Lostbiashara win